Ni kweli kifo kinaogopwa dah leo baada ya kupata dalili fulani nikaona isiwe kesi acha nizunguke kwenye youtube nikapate uahauri kidogo wa video za madocta wa youtube
Nilichokutana nacho hakika nimepona 😀😃😄
Watu wanaumwa katika dunia hii kuna magonjwa mengine hayana hata majina unakuta mtu ana comment dalili zake za ugonjwa unao msibu kuliko kumuonea huruma unajikuta unacheka 😀😃😄 hee Mungu tusaidie
Nilichokutana nacho hakika nimepona 😀😃😄
Watu wanaumwa katika dunia hii kuna magonjwa mengine hayana hata majina unakuta mtu ana comment dalili zake za ugonjwa unao msibu kuliko kumuonea huruma unajikuta unacheka 😀😃😄 hee Mungu tusaidie