1.unakuta mtu anakwambia jambo fulan ni mapenz ya Mungu(especialy mambo mabaya)
2.mtu anaendesha gar amelewa pombe
3.mtu yeye mademu zake ni wale wa ambiance tu hanaga shobo na wengne na sometime anakula kavu ukimuliza anakwambia akitumia nanilio haina ladha.
4.mtu hana msimamo..anaendeshwa na hisia za mapenz maisha yake yote.kama ni mwanamke basi furaha yake kawekeza kwa mumewe au bwana wake..
5.mtu kaz yake ni kujaza wanawake mimba na kuwa na watoto kila kona.
6.mtu hajal afya..anakunywa kupitiliza na akijia figo na inni vinalika.
7.mtu hana mipango kiuchumi..yupo yupo ..no plan
8.mtu anafadhaika na jinsi watu wanamwonaje..au mtu hana amani sabab watu watamchukuliaje.
9.mtu hata kubadili glopu hawez.
10.mtu yeye ni kishikaga namba za viatu tu darasan..no effort.
11.mtu hata technique za kumfikisha mwanamke kilelen hujui..unauliza mwanamke vip umefika au bado..kwa wajuzi wanajua mwanamke akifika bila kifake
12.
2.mtu anaendesha gar amelewa pombe
3.mtu yeye mademu zake ni wale wa ambiance tu hanaga shobo na wengne na sometime anakula kavu ukimuliza anakwambia akitumia nanilio haina ladha.
4.mtu hana msimamo..anaendeshwa na hisia za mapenz maisha yake yote.kama ni mwanamke basi furaha yake kawekeza kwa mumewe au bwana wake..
5.mtu kaz yake ni kujaza wanawake mimba na kuwa na watoto kila kona.
6.mtu hajal afya..anakunywa kupitiliza na akijia figo na inni vinalika.
7.mtu hana mipango kiuchumi..yupo yupo ..no plan
8.mtu anafadhaika na jinsi watu wanamwonaje..au mtu hana amani sabab watu watamchukuliaje.
9.mtu hata kubadili glopu hawez.
10.mtu yeye ni kishikaga namba za viatu tu darasan..no effort.
11.mtu hata technique za kumfikisha mwanamke kilelen hujui..unauliza mwanamke vip umefika au bado..kwa wajuzi wanajua mwanamke akifika bila kifake
12.