Duma tours ni matapeli?

daniel enocy

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
380
Reaction score
413
Jamani jana nilitumiwa e-mail kutoka Duma tours kuwa nahitajika jumamosi saa tatu asubuhi Arusha au Dar kwenye ofisi zao lakini wakata elfu kumi kama uthibitisho wangu kama nitaenda ili wawe na uhakika nikalipa via no 0659735483 baada ya hapo nitumiwe confirmation link. Chakusangaza sijatumiwa nikipiga simu haipokelewi wa email haijibiwi
msaada please
 
Ushapigwa braza.
Pole sana. Na uwezekano mkubwa waliokupiga hawana hata chembe ya uhusiano na duma tours. Ni wajanja wa town tu.
Pole.
 
Hiyo email ukisoma vizuri utaona inaonesha on behalf of duma tours
 
Kwanini hamfungui Uzi kuuliza kwanza kabla ya Kutuma?
Pamoja na technology yote hii bado mnatapeliwa kishamba hivyo?
 
haa haa haa! umeshatapeliwa wewe.. Kwani hapa mijini Dar es salaama una CHRISTMASS ngapi( Namaanisha umekuja DAR lini kutoka kwenu njombe?)
Acha zako kwamba sisi wanyalukolo washamba?
Jamaa hawezi kutokea Njombe
 
Umeibiwa mkuu,pole sana

Next time usitume pesa ili upate kazi
 
mkuu pole sana hata mimi walinitmia a same email c ile kazi za uhasibu
Mimi ukinitumia issue za interview then uniambie mambo ya ela hata c,angaiki
 
Pole mkuu ushaliwa aisee
 
Usije jaribu tena kutoa pesa mkuu, ukiona tu umeambiwa ulipe elfu kumi au ishirin kwa ajili ya usaili au mambo mengibe watakayo kwambia ujue hao ni matapeli
 

Hoja yako umeileta General sana, hujatueleza ilikuwaje mpaka ukatumiwa hiyo email je uliomba kazi au nini? Kama umeomba kazi ulijiridhisha kama hiyo kampuni ina exist? Ulijaribu hata kugoogle kwa sababu hakuna tour company ambayo haina website. Kampuni inakutumiaje email address inakuwa gmail au yahoo? Alafu wewe umeomba kazi anayetaka kukuajiri ndo ana hela alafu anakwambia wewe utume elfu 10. Mbona utapeli wa kizamani sana huo.
 
Yaani kampuni iliyowekeza mamilioni unaihusisha na kutapeliwa elfu kumi?
 
mbona wakati unawatumia hukuomba ushauri ila baada ya kupigwa ndiyo unakumbuka shuka hali ya kuwa kumekucha!
 
walikwambia wanakuhitaji kwa ajili ya nini? bado hueleweki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…