Dude

bigboss1

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
319
Reaction score
196
Jamani nachukia mtu akiact uzungu na hawezi kama huwezi kuiga uzungu acheni.
Mtu anaenda outing anaagiza saani nzima atazuga hapo weewe hadi ache chakula kimepowa.
Au juice akoroge hadi ashindwe kuinywa eti hey mbona juice zenu sio tamuu.
Yaani visa vya hapa na pale.
Hata kuoga anaoga masaa anaongea ongea kama hataki mpaka unamchoka unaaga.
Hao ndio wanapendwa akili ni zero ila kavaa powa simu za kuongwa nikila kitu at the end of kujishaua naye.
Umepoteza mengi .
So hawa watu wanajishaua acheni ishini kawaida .
Kwa wakakaa atAjishaua juice akiletewa analamba kama jamii ya mbwa.
Halafu chakula atakichunguza kama kina bacteria men .
Wengine sura mbaya weusi kama mkaa wa mama juma.
Wako yes no yes no kila kitu kakrem kama yahya sijui wapo wengi kiasi gank.
Sio dar tu hizi sampuli wapo.
Nope wapo kila mahali.
Kwakifupi mnakera watu.
Mtaishilia kubaya.
 
aisee umenikumbusha siku nimegundua nimekula chakula si salama kwa mama lishe ni baada ya kupigiwa simu nikaanza kuzungumza ikapelekea kupunguza kasi ya kula ila nilimlaumu aliyepiga simu akapelekea nikaanza chunguza msosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma slay queens popote mlipo ujumbe wenu ndio huu.
Mnajifanya mna maisha high quality kumbe mnaishi tandale. Unatolewa out unajifanya mzungu na broken english yako, unajifanya hiwez kumaliza dinner kumbe ukifiks kwenu unakula hadi ukoko.

Stop faking life.. mtazidi kuumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
 


Siyo uzungu tu, unesemaje watu weusi wanaojifanya waarab kuvaa magunia kichwani na kupaka ndevu zao hina huku wakitembea na masime kiunoni? Ukimsalimia Kiswahili anakujibu kwa kiaarab, na hawa je? Wapo wengi sana hapa Tanzania.
 
Siyo uzungu tu, unesemaje watu weusi wanaojifanya waarab kuvaa magunia kichwani na kupaka ndevu zao hina huku wakitembea na masime kiunoni? Ukimsalimia Kiswahili anakujibu kwa kiaarab, na hawa je? Wapo wengi sana hapa Tanzania.
Nimesema wazungu sio waarabu .
Hata hao wanao wanashida zao
 
Wewe ni mwanaume rijali unaletewa chakula unaanza kukikagua mara unachambua chambua utazani mtoto anayetambua ladha ya vyakula hadi mnakera.
Halafu mnaongea english broken na magari yakuazima mnajua mnakera sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…