bigboss1
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 319
- 196
Jamani nachukia mtu akiact uzungu na hawezi kama huwezi kuiga uzungu acheni.
Mtu anaenda outing anaagiza saani nzima atazuga hapo weewe hadi ache chakula kimepowa.
Au juice akoroge hadi ashindwe kuinywa eti hey mbona juice zenu sio tamuu.
Yaani visa vya hapa na pale.
Hata kuoga anaoga masaa anaongea ongea kama hataki mpaka unamchoka unaaga.
Hao ndio wanapendwa akili ni zero ila kavaa powa simu za kuongwa nikila kitu at the end of kujishaua naye.
Umepoteza mengi .
So hawa watu wanajishaua acheni ishini kawaida .
Kwa wakakaa atAjishaua juice akiletewa analamba kama jamii ya mbwa.
Halafu chakula atakichunguza kama kina bacteria men .
Wengine sura mbaya weusi kama mkaa wa mama juma.
Wako yes no yes no kila kitu kakrem kama yahya sijui wapo wengi kiasi gank.
Sio dar tu hizi sampuli wapo.
Nope wapo kila mahali.
Kwakifupi mnakera watu.
Mtaishilia kubaya.
Mtu anaenda outing anaagiza saani nzima atazuga hapo weewe hadi ache chakula kimepowa.
Au juice akoroge hadi ashindwe kuinywa eti hey mbona juice zenu sio tamuu.
Yaani visa vya hapa na pale.
Hata kuoga anaoga masaa anaongea ongea kama hataki mpaka unamchoka unaaga.
Hao ndio wanapendwa akili ni zero ila kavaa powa simu za kuongwa nikila kitu at the end of kujishaua naye.
Umepoteza mengi .
So hawa watu wanajishaua acheni ishini kawaida .
Kwa wakakaa atAjishaua juice akiletewa analamba kama jamii ya mbwa.
Halafu chakula atakichunguza kama kina bacteria men .
Wengine sura mbaya weusi kama mkaa wa mama juma.
Wako yes no yes no kila kitu kakrem kama yahya sijui wapo wengi kiasi gank.
Sio dar tu hizi sampuli wapo.
Nope wapo kila mahali.
Kwakifupi mnakera watu.
Mtaishilia kubaya.