Dubai kwisha!

Jiulize kwanini hayo mataifa yanayopigwa na iran, hayafanyi reaction kwa anayewapiga?
 
Hawa jamaa wahuni sana.... Hawajawahi shindwa.... Wanaweza kupiga wenyewe wakamsingizia Iran kuwa ndio kapiga.....
Wanaweza hata kufanya mauaji kwa raia wao pale New York halafu lawama akapewa mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…