Dubai kuja na technology Hii

Hongera zao!

Utilization of resources hufanywa na watu werevu tu

wame level surface ya bahari / wakalijenga na kulitumbukiza baharini /
hongera

Na Tanzania nasisi tutajenga pia viwanja vya ndege chini ya bahari hivi karibuni tuliweza kuleta mvua ya el itatushinda hii

Tanzania tayari tuna hoteli ina vyumba chini ya bahari.
Zanzibar
 

Attachments

  • 1433014251295.jpg
    21.6 KB · Views: 234
  • 1433014259653.jpg
    29 KB · Views: 226
  • 1433014268582.jpg
    9.2 KB · Views: 220
  • 1433014341660.jpg
    41.4 KB · Views: 211
Wakitokea huko papa au nyangumi wapo speed wanakimbizana kwisha habari hapo......luxury zipo kibao ila hiyo sifanyi hiyo pesa ya kuingia huko bora nikajenge darasa kijijini
 
Kuuridhisha mwili ni ngumu saaaaaana and hatotokea. Hii yote ni anasa tu za kutaka kustarehe beyond kawaida. Soon zitaanza daladala za kwenda mwezini kutembea.
 
Mmefikiria tu kupasuka na al shabaab,hamjafikiri kuhusu Tsunami!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…