Dstv sio wema kuwa makini

Dstv sio wema kuwa makini

Jalema

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
594
Reaction score
869
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifurushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao. Leo tar 14.02.2018 wamesitisha huduma wakaniachia channel moja tu no 100 dish.

Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi cha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga total ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya channel moja tu.

Kuweni makini wadau hawa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake
 
Mkuu mi nnaishi dochi uku mpakani karib na kongo
 
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao.leo tar 14.02.2018 wamesitiasha huduma wakaniachia chanel maoja tu no 100 dish. Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi sha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga tatal ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya chanel moja tu.

Kuweni makini wadau awa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake
Nadhani umeingia dstv kwa kasi ya 8G.
 
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao.leo tar 14.02.2018 wamesitiasha huduma wakaniachia chanel maoja tu no 100 dish. Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi sha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga tatal ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya chanel moja tu.

Kuweni makini wadau awa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake

Mbona pale huduma zao zilivyokuwa nzuri Kwako na ulikuwa unazifaidi ulikuwa huji humu Kuwasifu / Kuwapongeza hadi umeona sasa wamekubana ndiyo unawananga / unawachamba? Miswahili bhana!!!!!!!
 
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao.leo tar 14.02.2018 wamesitiasha huduma wakaniachia chanel maoja tu no 100 dish. Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi sha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga tatal ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya chanel moja tu.

Kuweni makini wadau awa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake
mimi na miaka natumia dstv iko vzr sana na hudumazao hazilinganishwi na yoyote
 
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao.leo tar 14.02.2018 wamesitiasha huduma wakaniachia chanel maoja tu no 100 dish. Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi sha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga tatal ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya chanel moja tu.

Kuweni makini wadau awa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake


Ugeni ndio shida ungesubiri ofa yao iishe. Pole mwaka wa 10 na bado DSTV hawana mpinzani kwa kweli na vile bei iko chini now compare na ile 200,000 enzi hizo za big brother akina Mwisho Mwampamba na wengine
 
DSTV is the best by far.
Unamaana hata zile FREE TO AIR CHANNELS hupati ?
 
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifurushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao. Leo tar 14.02.2018 wamesitisha huduma wakaniachia channel moja tu no 100 dish.

Nimetumia vocha zaid ya sh 5000 nikiongea na huduma kwa wateja wakaniambia niongeze elf 16500 ili niweze kuendelea na kifurushi cha family nikaona sio kesi nikalipia mpaka sasa hiv hamna kitu nikipiga total ya fedha nilizolipia ni 55500 na dikoda yao haioneshi kitu zaid ya channel moja tu.

Kuweni makini wadau hawa watu sio wema hata kidogo nikipiga simu kila muhudumu ananiambia la kwake

unaweza walalamikia kumbe we ndio hujaelewa.

unapolipia kifurushi cha family uliwapigia ili wakutoe katika kifurushi chakwanza(bomba)?

pia baada ya kulipia umejaribu ku clear error 16?

unapolipa decoda ilikuwa on au ulizima?

nimetumia dstv tangu 2013,sijaona hayo uyasemayo labda kama ni technic za kibiashara

lazima tuwe wakweri

MIMI WANANIUZI GHARAMA KUBWA, JAPOKUWA WANACHANEL NZURI SANA, WAFIKIRIE BEI IENDANE NA MAISHA YETU
 
katika watu ambao wanajari wateja hakuna kma dstv labda tv yako ndio shida ila nenda ktk ofisi zao waelezee tatizo lako na nenda na hyo dekoda yako kuna team yao ya mafundi watakushughulikia tatizo lako au umetumwa na wengineo wenye ushindani wa kibiashara na dstv
 
Mkuu umepotelea wapi... Hivi ulipata suluhu
Harudi tena maana inaelekea alilipia huduma king'amuzi kimezima, kwa kuwa alikuja kwa gear ya kuwalaumu DSTV na amekutana na majibu ya kumpinga hivyo ameuchukua ushari kimya kimya na kuufanyia kazi
 
Back
Top Bottom