Jamani naombeni msaada nini nifanye manake decorder yangu ya Dstv imepoteza signals Quality inasoma 1% na strength 1%. Naombeni mnisaidie jinsi ya kurudisha hizo signal
Jamani naombeni msaada nini nifanye manake decorder yangu ya Dstv imepoteza signals Quality inasoma 1% na strength 1%. Naombeni mnisaidie jinsi ya kurudisha hizo signal
Kinachooneka ni kwamba TCRA ina ugomvi ba wateja wa DStv. Ukiwa na hela TCRA sio rafiki yako kabisa. Raha yai uwe na Ting ili uone TBCCM.
Huku DStv TBC1 inaonekana namba ngapi kwa waliowahi kuikamata?
Kinachooneka ni kwamba TCRA ina ugomvi ba wateja wa DStv. Ukiwa na hela TCRA sio rafiki yako kabisa. Raha yai uwe na Ting ili uone TBCCM.
Huku DStv TBC1 inaonekana namba ngapi kwa waliowahi kuikamata?