DSTV biashara imekuwa ngumu sasa mmeanza janja janja eeh..kumbuken ving'amuzi vipo vingi

Hawa jamaa hii ni mara ya 3 sasa,..ndo nmeingia hapa nyumban najiandaa niwatch news,naona holaa,nikwel muda umekwisha ,ila sasa hata locals sizioni jaman,hata Tbc,last times had nilipowapigia ndo walirekebisha hili swala,sasa hii tena ni mara ya 3,

Kwahyo mnataka niwapigie tena ama,na nmegoma kuongeza salio la month nyingne sasa,ntaskiliza kwenye redio hzo habar,..

Af ukiwapigia wanajishodoa kwel wale wadada huku mi salio linaenda,.vyuma vimekaza niko makin kwenye kila angle,

Sasa naomba mniunganishe nw na locals hata niangalie habar saa mbili hii hilo salio ntaunga kesho alaa
nenda kalipie kizuri gharama
 
Hawa jamaa hii ni mara ya 3 sasa,..ndo nmeingia hapa nyumban najiandaa niwatch news,naona holaa,nikwel muda umekwisha ,ila sasa hata locals sizioni jaman,hata Tbc,last times had nilipowapigia ndo walirekebisha hili swala,sasa hii tena ni mara ya 3,

Kwahyo mnataka niwapigie tena ama,na nmegoma kuongeza salio la month nyingne sasa,ntaskiliza kwenye redio hzo habar,..

Af ukiwapigia wanajishodoa kwel wale wadada huku mi salio linaenda,.vyuma vimekaza niko makin kwenye kila angle,

Sasa naomba mniunganishe nw na locals hata niangalie habar saa mbili hii hilo salio ntaunga kesho alaa

TBC mkuu? Wasioneshe tu, ninabariki hilo!
 
Ahhh wap,channel local zipo na tunaangalia sana,ila ndo hvo usumbuf had uwapigie pigie weeee
Ni channel local ambazo zimeingizwa kwenye king'amuzi cha kimataifa. DSTv imesajiriwa South Africa sio TZ hivyo inafuata sharia za SA
 
Hawa jamaa hii ni mara ya 3 sasa,..ndo nmeingia hapa nyumban najiandaa niwatch news,naona holaa,nikwel muda umekwisha ,ila sasa hata locals sizioni jaman,hata Tbc,last times had nilipowapigia ndo walirekebisha hili swala,sasa hii tena ni mara ya 3,

Kwahyo mnataka niwapigie tena ama,na nmegoma kuongeza salio la month nyingne sasa,ntaskiliza kwenye redio hzo habar,..

Af ukiwapigia wanajishodoa kwel wale wadada huku mi salio linaenda,.vyuma vimekaza niko makin kwenye kila angle,

Sasa naomba mniunganishe nw na locals hata niangalie habar saa mbili hii hilo salio ntaunga kesho alaa

Ulinunua kwa ajili ya channels za bure au? ukitaka bure nunua madish local
 
Mkuu mi nalipaga package ndef sio hyo ya 19.madem zangu hyo ya 19 hawatak hata kuiskia.wanasema haina flavor,..usifkir nimeanzisha uzi kwa package hyo ndogo mjomba,ukiona uzi umefunguliwa ujue package ya damu kumwagika
Kwa iyo unalipia King'amuzi kwa ajili ya kuwafurahisha wasichana na sio kuangalia wewe. Kweli Tanzania ni Shithole
 
Back
Top Bottom