DStv Azam zuku

wewe ndie mjinga, kwa hili serikali naipa heko!! badala ya kulipia sasa tutakuwa tunaangalia bure!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna bure yoyote, mbona Star Times wao hizi za 'bure' hawazionyeshi bure hadi ulipie? Jana nimelipa Star Times ndiyo nikafunguliwa ITV, Channel Ten, Clouds na local channel nyingine? Awali nilikuwa napata TBC1 pekee.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tatizo huwa atuweki sawa mambo yetu mpaka pale mambo yanapoenda yombo ndio watu wanatambua umuhimu wa jambo husika,ni kweli linatuumiza wengi ila ifike wakati pia kwamba haya mapungufu yanapoonekana toka mwanzo basi yashughulikiwe mapema maana tunaoumia ni sisi walaji,kwa mfano:-
Azam imeshajijengia jina kubwa sana kupitia taarifa ya habari pamoja na kurusha ligi ya Tanzania.nashauri wakae na wayamalize,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…