poa kaka, sasa inakuwa inatumia lain moja au direct line, maana nina router haina sehemu ya kuweka modem, sasa watu wamenishaur ninue dsl il niweze kupata internet
poa kaka, sasa inakuwa inatumia lain moja au direct line, maana nina router haina sehemu ya kuweka modem, sasa watu wamenishaur ninue dsl il niweze kupata internet
deo bruno naona umehangaika sana na hiyo router yako isiyoweza kuwekewa line
je,hiyo router unataka kuitumia kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wapi?
je,watumiaji wangapi?
deo bruno naona umehangaika sana na hiyo router yako isiyoweza kuwekewa line
je,hiyo router unataka kuitumia kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wapi?
je,watumiaji wangapi?
Router lazima uwe na broadband ya TTCL au unaweza kwenda kununua modern special za voda ambazo zina support DSL connection. Matumizi ya router ni kwa computer nyingi imagine km unataka kufungua internet cafe yenye computer kadhaa hv.
Kama ni matumizi ya nyumbani nakushauri tumia modern au simu yako kupata internet kwenye computer yako
Router lazima uwe na broadband ya TTCL au unaweza kwenda kununua modern special za voda ambazo zina support DSL connection. Matumizi ya router ni kwa computer nyingi imagine km unataka kufungua internet cafe yenye computer kadhaa hv.
Kama ni matumizi ya nyumbani nakushauri tumia modern au simu yako kupata internet kwenye computer yako
kwahiyo brother mi nina modem ya voda, sasa inamaana cwez ku2mia hii router? maana shda yang ni kuspeed up, na hizo dsl si ndo zinalipiwa kwa mwez hiz. sasa mi ntaweza wap,