Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 324
- 1,190
King kwa jambo lipi?Ni king of all the time pale London na England kwa ujumla..
King kwa jambo lipi?Ni king of all the time pale London na England kwa ujumla..
Ronaldo ndani ya Man U alikuwa bora sana kutokana na rooneyRooney alikuzwa tu kwa vile ni muingereza, kuwepo kwa Ronaldo Man u kulichangia yeye kuwa mchezaji mzuri,Kwangu mimi Didier Drogba ni zaidi ya Rooney.
Acha uongo.Drogba hata kwa kuwa tu mchezaji bora wa kiafrika ni doubt kwa sababu ya kuwepo kwa Etoo.hata kwa England drogba hakuwa mchezaji mkali kiivyoKukuzwa na media kama timu yao ya taifa inavyokuzwa wakati in reality ENGLAND ni timu ya kawaida tu.
Mwenzake Lampard ni kocha sasa uyo Rooney bado anaruka ruka tu uwanjani..
Mimi Chelsea ndakindaki ulichosema nini sahihi.rooney huwez mfananisha na Drogba atafutwe mwingine lakini huu mjadala humtendei haki.Rooney ni complete package anakupa vyote anapiga pass,anafunga,ana kaba,ana roho ya upambanaji na ushindi na anafunga.Alipokuwa evaton walipokuja tz lile shuti kidogo lichane nyavu.(nje ya mada kuna huyu jamaa kwa sasa anaitwa Sergio busquets amekamilika sana raha sana ukiona akiwa na mpira ananikumbusha enzi za kina xavi na iniesta,mpira unamtii anaupokea anautuma anavyotaka na unamtii)Rooney alipokuwa ktk ubora wake sijawahi ona kumi kama ile kwenye mpira hapa duniani
Umekuja kumuona Sergio akiwa kashazeeka. Pole sana mkuu. Mbona amecheza na hao hao akina Xavi. Kumbuka Guardiola alimuondoa Yaya Toure Baclrcelona ili ampe nafasi Sergio maana ni mtoto wa nyumbani na ile ndo timu yao!Mimi Chelsea ndakindaki ulichosema nini sahihi.rooney huwez mfananisha na Drogba atafutwe mwingine lakini huu mjadala humtendei haki.Rooney ni complete package anakupa vyote anapiga pass,anafunga,ana kaba,ana roho ya upambanaji na ushindi na anafunga.Alipokuwa evaton walipokuja tz lile shuti kidogo lichane nyavu.(nje ya mada kuna huyu jamaa kwa sasa anaitwa Sergio busquets amekamilika sana raha sana ukiona akiwa na mpira ananikumbusha enzi za kina xavi na iniesta,mpira unamtii anaupokea anautuma anavyotaka na unamtii)
Atafute timu ya kufundisha afuate nyayo la lampard..Ila na wewe unachekesha kwa hiyo kama lampard kocha unataka rooney afanyaje.Labda akitaka nae ataenda kusomeea ukocha.au atafanya uchambuzi yote maisha.Saiz anaechambua pesa anayopata haipishani sana na ya kocha.
Uyu Rooney kweli ni mzuri ila kwa Didier bila ushabiki anakaa vizuri tu ..Rooney mbele ya John Terry alipata tabu wakati akina Vidic na Garry Neville walikuwa wanaumiza kichwa namuna ya kumkabili King D..Mimi Chelsea ndakindaki ulichosema nini sahihi.rooney huwez mfananisha na Drogba atafutwe mwingine lakini huu mjadala humtendei haki.Rooney ni complete package anakupa vyote anapiga pass,anafunga,ana kaba,ana roho ya upambanaji na ushindi na anafunga.Alipokuwa evaton walipokuja tz lile shuti kidogo lichane nyavu.(nje ya mada kuna huyu jamaa kwa sasa anaitwa Sergio busquets amekamilika sana raha sana ukiona akiwa na mpira ananikumbusha enzi za kina xavi na iniesta,mpira unamtii anaupokea anautuma anavyotaka na unamtii)
Sijawaona hao...hasa Shearer...lakini Owen nimemuona akiishia...me wa kizazi changu ni Wayne Mark Rooney...a deadliest striker ever...Acha utani mkuu. Rooney akiwa talented striker, Alan Shearer au Michael Owen watakuwa akina nani?