Naomba uuelezee umma tafadhali nini kilikukuta jana
Na uwaelezee watu jinsi gani hamsa zinavyouma , maana uliwacheka sana makolo hatimae nawe yamekufika
Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake
Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake