Nakuonya utakuka kujutia hizi kauli zako maana kuna wenzako walikuwa na dharau niliwaadabisha mpaka wamekimbia huu uzi ,mimi kazi yangu humu ni kushona midomo ya wote watakaoleta dharau nakuleta heshima kwa Malegend wa humu.
Tukutane Jpili au tatu panapo majaaliwa.