DRC: Uvira yaelekea kuangukia mikononi mwa M23

DRC: Uvira yaelekea kuangukia mikononi mwa M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
496
Reaction score
768
Baada ya kuibuka vita kali kati ya M23 na jeshi la FARDC, likisaidiwa na mamluki kutoka nchi za ulaya na marekani, kundi la FDLR, Kundi la wazalendo, jeshi la Burundi na kundi la Imbonerakure kutoka Burundi, mpaka sasa, inasemekana M23 inakaribia Uvira mjini, umbalo usiozidi Km20.

Jeshi la Burundi limeanza kuondoa siraha na badhi ya wanajeshi kurudi nchini kwao, huku jeshi la Congo na lenyewe badhi wakielekea Burundi kupitia mpaka wa ardhini, na wengine kuelekea Kalemie, kupitia njia ya ziwa Tanganyika.

Badhi ya viongozi, waleiomba jeshi kusalimu amri kuepuka kumwagika kwa damu mjini humo, kama ilivotokea Bukavu.

Inaelekea, Burundi, iliyokuwa ikishutumiwa na M23 kuua raia wa mashariki mwa DRC, kabila la Watutsi, ndo wanaenda kuwa majirani.

Ikumbukwe, maeneo inapoelekea M23, ndipo walipo waasi wa Burundi, wajulikanao kama RED-TABARA.
 
Ina maana mtusi kaapa kuangamiza wahutu waliohusika na kimbari bila kutalii makubaliano chuni ya trumph
 
Baada ya kuibuka vita kali kati ya M23 na jeshi la FARDC, likisaidiwa na mamluki kutoka nchi za ulaya na marekani, kundi la FDLR, Kundi la wazalendo, jeshi la Burundi na kundi la Imbonerakure kutoka Burundi, mpaka sasa, inasemekana M23 inakaribia Uvira mjini, umbalo usiozidi Km20.

Jeshi la Burundi limeanza kuondoa siraha na badhi ya wanajeshi kurudi nchini kwao, huku jeshi la Congo na lenyewe badhi wakielekea Burundi kupitia mpaka wa ardhini, na wengine kuelekea Kalemie, kupitia njia ya ziwa Tanganyika.

Badhi ya viongozi, waleiomba jeshi kusalimu amri kuepuka kumwagika kwa damu mjini humo, kama ilivotokea Bukavu.

Inaelekea, Burundi, iliyokuwa ikishutumiwa na M23 kuua raia wa mashariki mwa DRC, kabila la Watutsi, ndo wanaenda kuwa majirani.

Ikumbukwe, maeneo inapoelekea M23, ndipo walipo waasi wa Burundi, wajulikanao kama RED-TABARA.
RED-TABARA ni waasi wa Kitutsi hivyo wataambiwa wasiue watu bali wakazanie kulinda maeneo na njia zote za machimbo ya madini.

RED-TABARA na M23 ni dugu moja.
 
Hapa ndo m23/arc atakutana na changamoto za kiutawala maana mji huu umejaa wabembe,bafilura na warundi ambao hawampendi...
Karibuni, tutegemee vita ya moja kwa moja baina ya fndb na rdf..
 
Hapa ndo m23/arc atakutana na changamoto za kiutawala maana mji huu umejaa wabembe,bafilura na warundi ambao hawampendi...
Karibuni, tutegemee vita ya moja kwa moja baina ya fndb na rdf..
Uvira ilikuwa ni "priority target" baada ya M23 kuchukua miji ya Kivu Kaskazini na Kivu ya Kusini.

Hivyo vita ya sasa ni kwa watutsi wa M23 na RED-TABARA kuwasukuma nyuma vikosi vya Burundi ili viishie mpakani na DRC.

Kumbuka majeshi ya DRC yasaidiwa na vikosi vya jeshi la Burundi na waasi wa kundi la Wazalendo lakini M23 wamekwishatwaa vitongoji vya kimkakati (vyenye madini ya kutosha) vya Katogota, Luvungi, Bwegera, Luberizi, na Mutarule.

Pia juzi kulikuwa na mapigano makali kwenye miinuko ya Rusizi na wanajeshi kadhaa wa ngazi za juu wa Burundii waliuawa akiwemo luteni kanali mmoja ajulikanae kama Minani.
 
Updates: Vikosi vya M23 sasa viko kilomita 16 kutoka mji wa Uvira uliopo katika jimbo la Kivu ya Kusini na karibu kabisa na mpaka na Burundi.

Hii ndo ngome pekee ya majeshi ya DRC ambapo mapigano makali yatarajiwa kuwepo.

Tiyari raisi wa Congo DRC Tshisekedi ameituhumu Rwanda kukikuka makubaliano yalofikiwa mjini Washington Marekani Alhamisi ilopita. Katika makubalino hayo yalotiwa saini na maraisi Tshisekedi na Paul Kagame wa Rwanda ambayo yaliratibiwa na raisi Donald Trump, kipo kipengele kinohusu ushirikiano wa kiuchumi ambapo madini adimu yatachimbwa na makampuni ya Marekani na kupelekwa Marekani.

Upande wa Mashariki mwa DRC ndo wenye madini mengi ya kila aina na M23 ambao hawajulikani ni nani khasa yupo nyuma yao zaidi ya Rwanda, wamekuwa wakiendelea kuteka vitongoji na maeneo mengi. Mwezi Januari mwaka huu M23 ilifanikiwa kuteka Kivu ya Kusini inojumuisha Goma ambayo ni mji mkuu wa Kivu ya Kusini na mji wa Goma.

Kwa wafuatiliaji na wachambuzi mbalimbali kinofanywa na M23 kwa sasa chaonekana wazi kina baraka za Marekani ambayo ili kuwa na uhakika na usalama wa machimbo ya madini hayo, ni lazima kuwepo na uhakika wa usalama (security guarantees) ambapo Rwanda ipo tiyari kutoa ikitumia hawa M23. Hiyo ni kwasababu Marekani haitaki kuweka vikosi vyake katika eneo hilo isipokuwa kuhakikisha M23 yaimarishwa kijeshi, kivifaa na kitaalam katika masuala ya vita vya kisasa au Modern Warfare.

Kwa maana hiyo hii ni ishara kwamba Congo DRC yaporwa madini yake mbele ya macho yao huku Rwanda ikifaidika kiuchumi, kijeshi na kijajusi katika eneo la maziwa makuu.
 
Ina maana mtusi kaapa kuangamiza wahutu waliohusika na kimbari bila kutalii makubaliano chuni ya trumph
Nikucheke kwanza. Toka lini mzungu akawa na huruma na mtu mweusi? Watu kuna vitu mnafananisha. Makubaliano yao yalilenga mali,mambo mengine watajuana wenyewe. Unajua miaka zaidi ya 5, kampuni moja ya Marekani, ijulikanayo kama Trinity Metals, ilijenga viwanda vya kusafisha dhahabu na madini mengine nchini Rwanda? Unajua, kwa sasa, baada ya makubaliano yale, lazima madini yanayochimbwa DRC, yaende kuchakatwa Rwanda ndo yasafilishwe! Af, mzungu atapataje pesa kwenye maeneo yasiyo na ulinzi imara? Tunazugwa tu nyuma ya pazia kuna vitu.
 
Hapa ndo m23/arc atakutana na changamoto za kiutawala maana mji huu umejaa wabembe,bafilura na warundi ambao hawampendi...
Karibuni, tutegemee vita ya moja kwa moja baina ya fndb na rdf..
Kwamba kalianzisha bila kujipanga? Unadhani, ataishia Uvira tu? Muda utaongea tusubili tuone.
 
Updates: Vikosi vya M23 sasa viko kilomita 16 kutoka mji wa Uvira uliopo katika jimbo la Kivu ya Kusini na karibu kabisa na mpaka na Burundi.

Hii ndo ngome pekee ya majeshi ya DRC ambapo mapigano makali yatarajiwa kuwepo.

Tiyari raisi wa Congo DRC Tshisekedi ameituhumu Rwanda kukikuka makubaliano yalofikiwa mjini Washington Marekani Alhamisi ilopita. Katika makubalino hayo yalotiwa saini na maraisi Tshisekedi na Paul Kagame wa Rwanda ambayo yaliratibiwa na raisi Donald Trump, kipo kipengele kinohusu ushirikiano wa kiuchumi ambapo madini adimu yatachimbwa na makampuni ya Marekani na kupelekwa Marekani.

Upande wa Mashariki mwa DRC ndo wenye madini mengi ya kila aina na M23 ambao hawajulikani ni nani khasa yupo nyuma yao zaidi ya Rwanda, wamekuwa wakiendelea kuteka vitongoji na maeneo mengi. Mwezi Januari mwaka huu M23 ilifanikiwa kuteka Kivu ya Kusini inojumuisha Goma ambayo ni mji mkuu wa Kivu ya Kusini na mji wa Goma.

Kwa wafuatiliaji na wachambuzi mbalimbali kinofanywa na M23 kwa sasa chaonekana wazi kina baraka za Marekani ambayo ili kuwa na uhakika na usalama wa machimbo ya madini hayo, ni lazima kuwepo na uhakika wa usalama (security guarantees) ambapo Rwanda ipo tiyari kutoa ikitumia hawa M23. Hiyo ni kwasababu Marekani haitaki kuweka vikosi vyake katika eneo hilo isipokuwa kuhakikisha M23 yaimarishwa kijeshi, kivifaa na kitaalam katika masuala ya vita vya kisasa au Modern Warfare.

Kwa maana hiyo hii ni ishara kwamba Congo DRC yaporwa madini yake mbele ya macho yao huku Rwanda ikifaidika kiuchumi, kijeshi na kijajusi katika eneo la maziwa makuu.
Nakuunga mkono kwa maoni yako.
 
Wazalendo na wana harakati wa kweli M23 wanapaswa kuungwa mkono na kila mpenda haki.
 
Uvira ilikuwa ni "priority target" baada ya M23 kuchukua miji ya Kivu Kaskazini na Kivu ya Kusini.

Hivyo vita ya sasa ni kwa watutsi wa M23 na RED-TABARA kuwasukuma nyuma vikosi vya Burundi ili viishie mpakani na DRC.

Kumbuka majeshi ya DRC yasaidiwa na vikosi vya jeshi la Burundi na waasi wa kundi la Wazalendo lakini M23 wamekwishatwaa vitongoji vya kimkakati (vyenye madini ya kutosha) vya Katogota, Luvungi, Bwegera, Luberizi, na Mutarule.

Pia juzi kulikuwa na mapigano makali kwenye miinuko ya Rusizi na wanajeshi kadhaa wa ngazi za juu wa Burundii waliuawa akiwemo luteni kanali mmoja ajulikanae kama Minani.
Usiwatoe wazalendo chini ya amuri yakutumba kwebye siasa na vita hasa maeneo ya fizi-baraka na uvira
 
Back
Top Bottom