Dr.Slaa! Kul-haq’qa lau-kana Mur’ra! Unaficha ficha nini?

Dr.W.Slaa, uwa anasema Usalama wa Taifa ndiyo waliiba kura zake.

Watu wakimuuliza waliiba vipi hataki kusema.

Cha kushanganza zaidi matokeo ya Ubunge anayakubali ya rais hayataki.

Hivi unaweza kushinda urais na wabunge 23.

na akiulizwa hizo kura zilizoibiwa ni ngapi hataki kujibu, anadai kura alizopata kikwete ndio zilikuwa zake na za kwake ndio za kikwete. hivi huyu babu ana matatizo gani? mara mabomba ya gesi yanaelekea ulaya. mara atahalalisha gongo yani ni vituko juu ya vituko, na huko kalenga tutasikia vituko vingi sana... anaweza kusema hata mkwawa aliuliwa na ccm... huyu babu apimwe akili atakuja kuvua nguo jukwaani kama afande sele
 
Last edited by a moderator:
abakorakamo

Asante Kamanda,

Kuzeeka huchagui, ni mpango wa Mungu. Usisahau kuna wazee wenye akili kuliko za vijana and vice versa. Hasira si kila wakati ni mbaya, isipokuwa makini na isipokuwa na akili unaweza kuhukumu hasira Kama jambo baya, soma kijana uwe na hekima ya kujua lini na wakati gani hasira ni mbaya na wakati gani hasira ni ya lazima na ina tija! Ukienda kwa ushabiki tu utapotea na historia itakupa haki yako kwa wakati mwafaka.

Kwa bahati mbaya mmendelea na ushabiki badala ya kutafakari uhusiano kati ya heading ya thread na majibu yangu mafupi sana.

Nieleze tu niliyoandika nimeandika makusudi. Kama mmeshindwa kuelewa siyo kosa langu. Narudia tena chama cha siasa hakijengwi wala kubomolewa nyuma ys computer Bali kwa kwenda kwa wananchi. Ninaandika nikiwa field na nimefanya mikutano kijiji cha Nzihi, Kidamali na Kiwele. Ninawakilisha mawazo ya wananchi hao.

Waeleze watanzania unayekaa nyuma ya computer na kuandika stori zinawawakilisha wananchi gani? Simple logic huhitaji kwenda shule kulielewa Hilo.

Bahati mbaya naingia eneo haling network wala umeme, katika nchi ambayo miaka hamsini ikiwa na rasilimali kibao! Nishati ya jua imejaa tele, nishati ya upepo imejaa tele, maporomoko ya maji hayana idadi, lakini nchi ipo kwenye Giza totoro! Haishangazi kwa kuwa Chama tawala imewadumaza vijana na kuwa nyima elimu! Nawapa pole sana vijana wangu! Mnaweza katakana, lakini matusi hayaondoi ukweli Bali yanazidi kuthibitishia ukweli kuhusu heshima yako, utu wako na kadhalika. Ukweli utabakia ukweli daima hata ukipindishwa kwa kiwango gani!
 
Nilikuwa nam quote Mwagavumbi, nadhani kuna technical problem hata ukiiangalia ilivyokaa utagundua hilo. Sio kusudio langu.

wapenzi wa chadema, mmependa hadi hamuoni. Mbona tathimini tu ya kawida ni juzi cdm imeshangiliwa saaana, kisha kupewa viti 3 vya udiwani. Uwingi wa watu kwenye mikutano sio kigeza cha chama kufaniwa kisiasa, bali kupata watu wengi watakaokipia kura. si dhani mafanikio ya cdm ni kuona waru wengi wakikipigia mayowe, bali kuona wanakubalika kwa kura za hao wapiga mayowe. tafakarini wakuu
 
Halafu ukimkuta anawasikiliza utadhani wanamwambia kitu cha maana, kumbe ujinga mtupu!

mkuu. umemsoma babu slaa hapo juu? anadai hasira inatija....chonde chonde mkuu tufanye harambee huyu mzee akapimwe akili
 
wapenzi wa chadema, mmependa hadi hamuoni. Mbona tathimini tu ya kawida ni juzi cdm imeshangiliwa saaana, kisha kupewa viti 3 vya udiwani. Uwingi wa watu kwenye mikutano sio kigeza cha chama kufaniwa kisiasa, bali kupata watu wengi watakaokipia kura. si dhani mafanikio ya cdm ni kuona waru wengi wakikipigia mayowe, bali kuona wanakubalika kwa kura za hao wapiga mayowe. tafakarini wakuu

Hizi mbwembwe zitakoma very soon baada ya kuboresha daftari la wapiga kura. Think twice bro!
 
Mtaongea sana, mtamtukana sana matusi, lakini, Tanzania nzima hakuna mtu kama Dr Slaa, nenda ccm na vyama vingine vyote, niambie ni nani wa kumfananisha na Dr Slaa, huyu ndiye anayewaumiza vichwa mafisadi, kaamua kuwapigania haki wanyonge, msiogope mabadiliko, tulieni, ni kwa maslahi ya wote na vizazi vijavyo, Dr Slaa ana umuhimu sana kwenye hili taifa, na hata mnayemtukana mnalitambua hilo, ila ni za pesa zinawasumbua, mnaana za wazazi wenu, Mungu atawaonesha kuwa Dr Slaa ni nani, si mnajifanya mmepigwa upofu.

TUNAKUSHUKURU KWA KUUSEMA UKWELI AMBAO WENGI WANAUFAHAMU ila WAMEKAUSHA !
 
Dr.W.Slaa

1. Umeongea maneno mengi sana kukata mzizi wa fitina ungewaeleza wananchi walichoongea kwenye simu Rais Kikwete na kiongozi wa CCM Iringa.

2. Ni kweli mabomba ya gesi yanaelekea Ulaya, ingekuwa vyema ungetutajia ni ngani yanaelekea.

3. Majimbo ya ambayo Chadema wanayo vipi maji, umeme, barabara, wanazo.

4. Mlimpa Rais Kikwete siku tatu aombe radhi leo tunaenda wiki ya pili sasa.
 
mkuu. umemsoma babu slaa hapo juu? anadai hasira inatija....chonde chonde mkuu tufanye harambee huyu mzee akapimwe akili

Wanasema huwezi kuvunja kiapo na mungu halafu, mambo yakaisha hivi hivi! Ndio maana mapadri wengi baada ya kuasi wamebaki na kiulizo sana mbele ya jamii.
 
Dr.W.Slaa Ahsante sana kwa majibu yenye hekima na busara tele.

Kupitia hiyo comment yako hapo juu tegemea kupata mashambulizi yenye kashfa tele kutoka kwa vijana wa Lumumba na watu waliolishwa propaganda za udini aka wafia dini...

Tafadhari Dr Slaa watu kama hao usiwajibu chochote na utuachie watu kama sisi tunawezananao,ila kwa wale watakaokuuliza maswali kwa heshima na adabu na kwa hoja mzuri basi waweza kuwajibu.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Dr Slaa kwa majibu yenye hekima na busara tele.

Kupitia hiyo comment yako hapo juu tegemea kupata mashambulizi yenye kashfa tele kutoka kwa vijana wa Lumumba na watu waliolishwa propaganda za udini aka wafia dini...

Tafadhari Dr Slaa watu kama hao usiwajibu chochote na utuachie watu kama sisi tunawezana nao, ila kwa wale watakaokuuliza maswali kwa heshima na adabu na kwa hoja mzuri basi waweza kuwajibu.

Una hekima sana wewe! Good advice to our president.
 
Dr.W.Slaa heshima kwako kiongozi.
Kwanza nikujulishe mimi so mwanaCHADEMA lakini apenda kazi mnayojitahidi kuifanya kwa nchi yetu ya Tanzania.

Nafahamu pia mnafanya kazi kwenye mazingira magumu sana kwasababu kwa ninyi kufanya kazi nzuri ilotukuka ni kutishia uwepo wa mpinzani wenu mkuu, lakini pamoja na changamoto bado mnajitahidi. Endeleeni sana kuifanya kazi nzuri tupo Watz wengi nyuma yenu

Sababu ya kuandika hapa sio tu kukubali jitihada zenu bali kukushukuru kwa jibu lako lenye hekima kwa huyu kijana(nafikiri) alionesha dharau kwa kua wewe una umri mkubwa kana kwamba huko kwao hakuna wazee au baba yake na babu yake naye ni kijana kama wewe.

Dr Slaa nakusheimu sana japo mimi sio mwanachama wako, nakuomba usijibu dhihaka,dharau na kashifa za hawa vijana, wewe kazi yako ni kubwa sana. Naomba nikushauri kama una taarifa zozote unataka kuweka hapa anzisha uzi wako ueleze hoja yako na kama ni kujibu ujibu watu wenye kuuliza maswali ya msingi lakini wenye kuleta dhihaka naomba usijibu.

Na hicho ndio kilio changu
 
Last edited by a moderator:
makamanda TULIENI TUNAMPA USHAURI WA HEKIMA NA BUSARA RAISI KIVULI WETU. MSIPANIC MAKAMANDA...PEPOOOOOOOOOS!!!
 
Dr. Slaa kwanza nakusalimu sana!

Pili rejea katika hoja yako ulioitoa hapo juu humu ndani ya JF Leo.

Habari yako TeamZitto.

Sijui ni kwanini kila wakati unaweka habari zako ndeefu za maneno ya kujirudia rudia yanayoleta kichefuchefu...Zitto hatunaye tena,ondoka naye ukawe katibu mwenezi wake huko ACT..chadema unaing'ang'ania ya nini.

Chadema ni mbovu,ndio iache na ubovu wake,vyama vipo vingi,nenda huko TADEA,UDP.

KWANI WE NDO UMEIFIKISHA CHADEMA HAPA ILIPO.ONDOKA BWANA
 
Back
Top Bottom