Dr. Slaa aiumiza CCM

Katibu wa itikadi na uenezi (Nape), bila itikadi kuwepo (CCM), ni tatizo kwelikweli. hatari yake unaweza kuwa vuvuzela, maana unazungumza bila falsafa au dira. Pole sana Nape CDM sio saizi yako.
 
Nape ni zigo tu na ni sawa na

gari bovu lisilo na spear!
 
Asante Doc,asante rais wangu.Nimefurahishwa na comments hizo kwaani mkakati umefeli tayari,wajipange upya.rip magamba
 
Siku CDM itakapoingia ikulu 2015 ndo watajua ni chama cha namna gani.
Nape anadhihirisha kuwa watanzania maskini, wanyonge wote wanaopenda mabadiliko kuwa ni watu wa kanda ya kaskazini, na Mafisadi na wezi wa mali ya umma kwake yeye ndo watanzania wa kweli.

Mungu Ibarikia Tanzania
Mungu Ibariki CHADEMA


Mungu wangu hajawahi kunidanganya, 2015 kitaeleweka tu.
 
Nape anafanya siasa za kizamani sana yani anadiriki kusema kwamba shibuda anapingwa sababu anatoka kanda ya ziwa,hivi haya maneno yatamshawisho nani,hata mtoto wa shule ya msingi hawezi kubali,propaganda za hivyo zilishapitwa na wakati

Huyu Nape ni sawa na mfa maji haishi kutapatapa. Wao ndo wanakuwa wa kwanza kuzungumzia ukabila halafu wanasema sera zao si za ukabila. Hawana mbinu mbadala hawa wameanza kuchoka
 
Slaa hana jipya...yale yale ya 2008!

Acha yawe yaleyale, lakini ya 2008 ndo yanayowafanya makalio yenu yatepete kwa mboko tunazowatembezea, ombeni dunia iishe kabla ya 2015 mashetani wa kijani nyie
 
Kumng'oa silaa ni ndoto, tutapigania haki mpaka kieleweke
 

Kati ya watu wanaozidi kukididimiza chama cha mapinduzi ni huyu bogus Nepi Nyauye na Mukama,ubaya ni kua mwenyekiti wao na hata wanachama wake walio wengi hawajaliona ilo,ni wachache sana wenye uelewa ndani ya c.c.m wameliona ilo na wameamua kukaa kimya!Nape uwa hana uwezi wa kujenga hoja kabisa za kuweza kukiletea uhai chama chake kwa wananchi wa Tanzania!yeye kazi yake amebaki na propaganda za kitoto,ukanda mara sijui vile,watu hawadanganywi kwa upuuzi kama huo,kwa nini hasijifunze kuwa na hoja zenye tija kuhusu matumizi ya rasilimali za nchi,maendeleo ya wananchi yaliyoletwa na chama chake,mfumo wa uchumi wa nchi n.k!haoni vijana wenzake kina Mnyika,Makamba,Zitto nk walivyo?nashindwaga kuelewa huyu Nape ame elimika nini!
 

yap! Mungu si mwanadamu hadi aseme uongo.
 
Slaa hana jipya...yale yale ya 2008!
Haswaa, ni mheshimiwa Kikwete peke yake mwenye mapya kila siku, kama hivi jana kaahidiwa kujaziwa bakuli lake la kuombea na fedha za kuimarisha kilimo kwanza kama sio kilimo mwisho, ameshajenga barabara za kuning'inia Dar, ameshanunua meli kubwa na kuipeleka ziwa Victoria,amewateua mawaziri na wakuu wa wilaya wenye akili kuliko watanzania wooote! au vipi?
 
nape leo ana mtetea shibuda wakati walimpiga chini kwa mambo hayohayo ambayo yanalalamikiwa ya kuwa mnafiki wala hakumtetea, leo wanamtetea? kweli shibuda katumwa
 
Dawa ya kubwa jinga kama Shibuda ni kumpuuza tu. Long live CDM.
 
Majibu mazuri sana hayo Dr Slaaa,,kiongozi mwenye busara utamjua tuu,,kama CCM walijua kuwa wakimshinikiza Shibuda kusema ujinga atasababisha mgogoro ndani ya chama basi ccm imekula kwao,,,MBOWE KIMYA,,SLAA KIMYA ila wanajua wapi pa kumkamata Shibuda,,,ama kweli njia ya mjinga nimeamini ni ndogo,,,
 

awali nilizani yusupu makamba aliondoka na kile kikundi cha kizua hili,,propaganda kale,,cha yulewa tmk aliye toka cuf,,,,,nani yule///////kumbe ndio broo nape karithi pochi,,,,,aibu,,,aibu,,aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…