Dr. Shein ni rais wa awamu ya ngapi Zanzibar?

Dr. Shein ni rais wa awamu ya ngapi Zanzibar?

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,957
Reaction score
8,005
Maana baada ya uchaguzi wa 2015 Jamhuri ya muungano tumepata raisi wa awamu ya tano sasa zbar Shein tutamwita wa awamu gani huyu?Au tutasema rais anayeendelea.
 
Yule watakuwa wameshatemana naye,bado protoko ya kumwachia Seif Sharif.
Si umeona hata jana kiti chake kilikuwa wazi kwenye mkutano wa CC ya chama?
 
Maana baada ya uchaguzi wa 2015 Jamhuri ya muungano tumepata raisi wa awamu ya tano sasa zbar Shein tutamwita wa awamu gani huyu?Au tutasema rais anayeendelea.
shein ni rais wa wanaccm na anatambuliwa na wanaccm tu.wananchi hatumtambui kwasababu hajashinda
 
Nadhani itakuwa awamu ya kati!maana ni ccm pekeyao ndio wanajua

Maalim ni makamu wa kwanza wa awamu ya ngapi? Maana sijasikia akiikana hiyo nafasi(labda awe alitangaza kujiuzuru na sikubahatika kumsikia)
 
awamu ya saba imepita hakuna uchaguzi uliokwisha fanyika hakuna serekali mpya kwa maana ya mawaziri wawakilishi sasa huyu awamu ya ngapi huyu
 
Back
Top Bottom