Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Umemuondoa Mwanasheria mkuu kwa sababu hakukubaliana na matakwa ya kuikandamiza Zanzibar ,naamini hukumfukuza nataka niamini hivyo,Kama ulimsikia Mh.Kikwete leo alisema kama sikosei kuwa anaulinda umma wa WaTanzania aka Tanganyika ni jukumu lake bila ya shaka atakuwa ameshirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Tanganyika na akimshauri ,sasa wewe mwenzio uliomchagua mwenyewe kwa kuamini atakusaidia katika kulinda maslahi ya Zanzibar na mwanasheria huyo ameonyesha njia njema kabisa kwa mustakbali wa Zanzibar na point zake zote zipo katika kuilinda Katiba ya Zanzibar ,pia kama ulimsikia Kikwete amekubaliana na maoni ya Mwanasheria uliemuondoa pale aliposema kuwa mnayoyazungumza ni mazuri na ukifika wakati yatatokea akatoa mfano wa yeye na Thabiti Kombo ,very simple ,hili dongo lilikuwa lako ya kwamba ulikosa busara na hicho cheo cha baraza la Mapinduzi hutaishi nacho daima.
Lengo la katiba hiyo si wakulima,wafugaji sijui wanawake ,vilema au viziwi hizo ni samli tu,yamo maalum mambo hayo ndio yanayowaniwa ,Wameimba Wazenji ..Nyusi na nywele ni pambo huota na kunyolewa yapo maalumu mambo ndio yanayowaniwa....! Na ndio hayo WaTanganyika wanayoyadoea ambayo yameikaba Zanzibar,si wakulima na wakwezi !
Lengo la katiba hiyo si wakulima,wafugaji sijui wanawake ,vilema au viziwi hizo ni samli tu,yamo maalum mambo hayo ndio yanayowaniwa ,Wameimba Wazenji ..Nyusi na nywele ni pambo huota na kunyolewa yapo maalumu mambo ndio yanayowaniwa....! Na ndio hayo WaTanganyika wanayoyadoea ambayo yameikaba Zanzibar,si wakulima na wakwezi !