Sheikh mimi sikuwa kwenye uislam wala ukristo nimejibanza kwenye utu,mimi nilidhani unamtetea Dau as human being,kumbe ni mambo ya 'muislam mwenzangu'! Yakhe mie huko siko asilaani.
huyu dada anayetoa post ana mahaba niue kweli. huyu dau ni mume wake wa ndoa au mpenzi. maana naona anajitahidi sana kumpandisha..sielew lengo lake ni nini ila nimesoam post nying za huyu mwandishi akiwa anamsifia tu huyu dau. nampongeza maana huyu ana maoenzi naye ya dhati. nanyi wanawake wengine muwe mnawasifia waume au wapenzi wenu kila wakati kama abiba navyofanya.
udhaifu wake ni pale anapoweka nyumba ya imani yake katika ofisi ya umma huku akujua kabisa kuwa ni kosa, je na wale wasiokuwa wa imani yake nao aliwatengenea pa kuabudia hapo ofisini kama yeye alivyojifanyia ka msjd kadgo?
Kumbe hapa issue inaweza kuwa zile megawat 150 za ule mradi wa umeme kule mkuranga. Na jisa cha due deligence team iliyokwenda marekan na mzabuni kuwa disqualified!!! ndio dau alipogeka mbaya. Sasa naanza kuelewa vzr
Umejisikiaje Kushuhudia Mh.Rais kujigeuza MC kwa muda kumpa heshima ya kuzungumza "Mwizi alieiba fedha za ujenzi wa daraja, Mmiliki wa Newcastle, Mdini, Mwny Bill 100 bank, anaetoa tenda kwa makampuni yake NSSF?"
udhaifu wake ni pale anapoweka nyumba ya imani yake katika ofisi ya umma huku akujua kabisa kuwa ni kosa, je na wale wasiokuwa wa imani yake nao aliwatengenea pa kuabudia hapo ofisini kama yeye alivyojifanyia ka msjd kadgo?