Habari wana jf,
Habari za uhakika kutoka chanzo cha kuaminika ni kwamba Dr Pollyn Msoffe amejipanga kugombea udiwani kwa tiketi ya chadema.
Harakati na mipango ya kufanikisha hili inafanyika ambapo vikao vya chin chin na wenyeviti akiwemo Mr Mallya mwenyekiti wa mtaa wa mshikamano ) kazi kwenu wana kata ya mbezi.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha kuaminika ni kwamba Dr Pollyn Msoffe amejipanga kugombea udiwani kwa tiketi ya chadema.
Harakati na mipango ya kufanikisha hili inafanyika ambapo vikao vya chin chin na wenyeviti akiwemo Mr Mallya mwenyekiti wa mtaa wa mshikamano ) kazi kwenu wana kata ya mbezi.