Dr. Makongolo Mahanga kuhamia chadema

Dr. Makongolo Mahanga kuhamia chadema

mbavuchanga

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
70
Reaction score
7
Dr.Makongolo Mahanga kuomba no Chadema baada yakupgwa chini jimbon kwake baada ya kuongea na ITV eti hajawai kupandishwa cheo kutoka unaibu wazir hdi uwazir baada yaku2mikia nafas io kwa miakd 10 akidai wapo waliopandshwa wakiwa ndan ya miaka2 tu eti anahamia chadema huko ndo mahal salama atakapopewa uwaziri endapo edwad lowasa akipta uraisi.
Chanzo itv habar
 
na huko anakokwenda, akikosa ubunge atahamia wapi? CUF? NLD? TLP?...alizaliwa kuwa waziri?!
 
Back
Top Bottom