Dr. Magufuli aunguruma Biharamulo

Dr. Magufuli aunguruma Biharamulo

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
[h=3]
12046582_903046936398715_594630125603333346_n.jpg
[/h]
12009617_903046963065379_484843208942495985_n.jpg


Dr. Magufuli Rais wa awamu ya Tano, aendelea kuunguruma Biharamulo. Maelfu ya wakazi wa Biharamulo wajitokeza kumsikiliza.

[h=3]Dr. Magufuli aunguruma Biharamulo[/h]



 
Hahahaha!
Mbona anaongea na familia au anasuluhisha migogoro ya ndoa?
 
Tusaidiane hapa......
.


Imetokea biharamulo ambako alikuwa anaendelea na kampeni zake akapata taarifa za msiba wa mwl.wake aliyemfundisha hatimaye akaamua kwenda kushiriki akiwa na baadhi ya makada wa chama waliovalia sare za chama.
Wanasheria na wataalamu wa masuala ya uchaguzi jongeeni mtoe ufafanuzi kwa raia ,maana hili limeleta mkanganyiko wa kisiasa kwa jamii.

"tutambue msiba ni shughuli ya kijamii ambayo hujumuisha watu wa kada tofautitofauti walio na vyama na wasio na vyama"

je,hili halileti ubaguzi na mgawanyiko ndani ya jamii?
 
Sasa kama kaenda kumzika mwalimu wake unapataje roho mbaya hivyo, kwani wewe hutakufa?
 
Mods mmelala sana siku hizi, huyu mleta mada kaleta mada ya uongo inayo muhusu janath magufuli bado tu anapewa nafasi ya ku post humu. Vyema apigwe ban mpaka uchaguzi uishe
 
Aisee hata mimi nimeshangaa sana baada ya kuona kupitia itv habari huku pombe mwenyewe akiimba mapambio..!!??
 
Ooh! Kumbe fiesta ilikuwa Biharamulo leo, hongera yao tumeona ubora wao.. Lakin tunawashauli waache kuandaa matamasha badara yake wafanye mikutano...
 
Huko boharamulo si ndio naskia alipindishaga barabara iliyokuwa inaelekea kule akaipitishia kwake chato.
 
Tusaidiane hapa......
.


Imetokea biharamulo ambako alikuwa anaendelea na kampeni zake akapata taarifa za msiba wa mwl.wake aliyemfundisha hatimaye akaamua kwenda kushiriki akiwa na baadhi ya makada wa chama waliovalia sare za chama.
Wanasheria na wataalamu wa masuala ya uchaguzi jongeeni mtoe ufafanuzi kwa raia ,maana hili limeleta mkanganyiko wa kisiasa kwa jamii.

"tutambue msiba ni shughuli ya kijamii ambayo hujumuisha watu wa kada tofautitofauti walio na vyama na wasio na vyama"

je,hili halileti ubaguzi na mgawanyiko ndani ya jamii?

acha ulofa ww mwl wake alishafariki zaman yeye alienda kuhani msiba na akapata muda wa kutembelea kaburi lake mbona haukuzungumza alivyoenda kwny kaburi la nyerere kwamba kavaa sare mambo mengine unajidhalilisha ubongo wako!
 
Bihalamulo hawaana hamu naye mtu mbinafsi mkubwa,aliwachelewesha kupata barabara ya lami akalazimisha ipitie kwake CHATO.
 
I an't arguing with fools. I am better than that. When you guys grow up, let me know.

only a dimwitted individual would dare to utter such claptrap...get your ass back to the thread and prove us wrong....dumb@$$
 
Back
Top Bottom