Dr magufuli akiwa kasikazn masharika

bruno twemanye

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2015
Posts
801
Reaction score
388
nmekubali ccm haijakurupuka kumtangaza mgombea uraia kwa tiketi ya chama hicho,,,takiliban wk nzima jamaa yupo mikoan anachapa kaz bla kuongelea kampein ila anapokea watu wengi na wenye umakin kimtazamo tofaut na vyama vingine hukusanya umati wenye vjana wengi wenye sura za mahitaji ya kitu flan,,na ukikuta wazee kimtazamo wanadalili zakupotea,,,ahasante ccm kutupa mtu anayetangaza tanzania kwanza vyama baadae.Mungu akubariki DR MAGUFULI
 
Bruno umeamkia wapi Leo ? Unajitambua kweli?
 

Excellent!
 

Kama "mzee "Kikwete.
 
Nyie hata mgeletewa wasira au yule mkulima wa kigoma mgemsifia tuu!!!! Hapo ndo huwa nachoka
 
Tuache unafiq ukawa mmebugi mwaka huu
 
mkuu wa wilaya ya meru juzi alikuja kuwaomba na kuwabembeleza wakazi tengeru waende wakamsikilize magufuli kwenye ufunguzi wa ujenzi wa barabara ya tengeru-sakina baada ya wananchi kuudhuria wachache ikabidi wanachuo wa chuo cha ualimu patandi wachukuliwe wajaze viti.
 
Hao maelfu ya vijana wenye mahitaji ya kitu fulani ndio matokeo ya maisha bora kwa kila mtanzania ccm imewapiga wananchi kwa umasikini na ufisadi wamelegezwa kila kitengo hizo ndio products za miaka 50 ya ccm madarakani poor you alafu hhata hamuoni haya kuja tena kutaka kura za wagonjwa mlio wazalisha nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…