cv ya kikwete ipo bora kuliko slaa,jeshin hadi degree 2, uwaziri kwa wizara mbalimbali .ujuzi wa mambo ya kimataifa na kitaifa sio slaa kutoka kwenye chet na phd ya mwaka mmoja
cv ya kikwete ipo bora kuliko slaa,jeshin hadi degree 2, uwaziri kwa wizara mbalimbali .ujuzi wa mambo ya kimataifa na kitaifa sio slaa kutoka kwenye chet na phd ya mwaka mmoja
Sasa si atumie hayo madegree kujenga nchi,wabongo bana mnasifia ujinga,ss hatuangalii vyeti tunaangalia uwezo,sasa hizo degree zake zimeisaidia nini nchi hii.