Conspiracy theories tupu na kuunganisha matukio, fear of unknown pia. Kiongozi utakufa natural death tu kwa magonjwa ya kuambukiza ya kama waafrika wengine boss au kwa uzee japo hatuna maisha marefu sana, hamna mtu ana shida na wewe mkuu. Kwanza value yako sidhani hata inafikia costs za kukuua hadi mzungu ahangaike na wewe! acheni kutisha watu tujenge nchi ya matozo!Dr Yuval Harari, mshauri mkuu wa mwanzilishi wa WEF, Dr. Claus Schwab, amesema bila aibu na kumung'unya maneno kwamba wanadamu wote kama ikiwa lazima wataangamia, isipokuwa "The Elite."
Dk. Yuval Harari anaingia kwenye vichwa vya habari tena kwa matamshi yake tata kuhusu hatima ya wanadamu kwa ujumla. Katika matamshi yake ya hivi karibuni kabisa, Yuval Harari anasema "Kutakuwa na watu wachache sana ambao watafanya maamuzi yote, hata kama hayatawanufaisha wanadamu wote. Kama hali itakuwa mbaya sana, Hararia nasema, wanasayansi watatengeneza Safina kama ya Nuhu kwa "The Elite," ili wajiponye na maangamizi yeyote yatakayowakumba wanadamu, huku wakiwaacha wengine kuangamia."
Maoni yangu ni kwamba
naomba Yuval Harari, Claus Schwab na bakers wao "The NWO Cabal," wajue kwamba yupo Mungu ambaye ni Mungu wao pia.
Huyu Mungu ni Mungu wa haki sana, ambaye hataruhusu jambo ambalo siyo mapenzi yake litendeke kwa watu wake. Ndiyo wanadamu wamemuasi Mungu, lakini bado ni watu wake!
Naomba Yuval Harari na watu wake wajue, kwamba kuna adhabu kwa yote wanayofanya. Lucifer asiwadanganye kwamba they will go away with it, they won't! A day of reconning is coming.
Tazama video chini umsikie akisema yeye mwenyewe.
View attachment 2399222
Sioni population control kama kitu kibaya ila mahitaji,maamuzi na utekelezaji wake lazima ufanyike na nchi husika bila kulazimishwa na nchi za magharibi.Kwa mawazo yako mkuu,is population control necessary at all kama akina Malthus na the NWO wanavyodai?
Hakuna anaejua ghaibu(future) isipokua alieumba futureDr Yuval Harari, mshauri mkuu wa mwanzilishi wa WEF, Dr. Claus Schwab, amesema bila aibu na kumung'unya maneno kwamba wanadamu wote kama ikiwa lazima wataangamia, isipokuwa "The Elite."
Dk. Yuval Harari anaingia kwenye vichwa vya habari tena kwa matamshi yake tata kuhusu hatima ya wanadamu kwa ujumla. Katika matamshi yake ya hivi karibuni kabisa, Yuval Harari anasema "Kutakuwa na watu wachache sana ambao watafanya maamuzi yote, hata kama hayatawanufaisha wanadamu wote. Kama hali itakuwa mbaya sana, Hararia nasema, wanasayansi watatengeneza Safina kama ya Nuhu kwa "The Elite," ili wajiponye na maangamizi yeyote yatakayowakumba wanadamu, huku wakiwaacha wengine kuangamia."
Maoni yangu ni kwamba
naomba Yuval Harari, Claus Schwab na bakers wao "The NWO Cabal," wajue kwamba yupo Mungu ambaye ni Mungu wao pia.
Huyu Mungu ni Mungu wa haki sana, ambaye hataruhusu jambo ambalo siyo mapenzi yake litendeke kwa watu wake. Ndiyo wanadamu wamemuasi Mungu, lakini bado ni watu wake!
Naomba Yuval Harari na watu wake wajue, kwamba kuna adhabu kwa yote wanayofanya. Lucifer asiwadanganye kwamba they will go away with it, they won't! A day of reconning is coming.
Tazama video chini umsikie akisema yeye mwenyewe.
View attachment 2399222
Mkuu mbona kama unajichanganya ( dunia ingekuwa eneo bora zaidi kama binadamu wasingekuwepo kabisa) halafu tena ( Nchi inapaswa iwe na watu wachache wanaoijielewa). Hiyo nchi inakuwa ktk tayari IPI?. Uhai wa mtu hautakiwi kuchezewa. Hivi ukichaguliwa ktk kundi la wasiojielewa ili wapunguzwe utakubali?Wako sawa, tena ukiangalia vizuri utagundua hii dunia ingekuwa eneo bora zaidi kama binadamu wasingekuwepo kabisa. Nchi inapaswa iwe na watu wachache wanaojielewa.
Soma Ufunuo 6-16 uone hatma ya Wanadamu kama Mungu mwenyewe alivyo ruhusu.It is so terrifyijg.Mungu alishawaruhusu Shetani na minions wake wawashughulikie Wanadamu.It is our fault.Tungemtii Mungu,Mungu angetulinda,sasa ameruhusu Shetani awashuhulikie watu ambao wamekataa kumtii.Soma pia Warumi 1:18-32.Hakuna anaejua ghaibu(future) isipokua alieumba future
Huyo ni mtabiri kama wale wa utabiri wa haliyahewa(she yahaya)