J Jarateng Senior Member Joined May 4, 2012 Posts 105 Reaction score 47 Oct 16, 2012 #1 Aliyekuwa M/Kiti wa CCM mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, amebwagwa na Dr. Anthony Diallo.
Filipo JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 9,347 Reaction score 5,553 Oct 16, 2012 #2 Vipi kuhusu wajumbe waliopata ajali? Wamepiga kura wakiwa wodini!?
K kiboriloni Member Joined Oct 13, 2012 Posts 6 Reaction score 7 Oct 16, 2012 #3 Bado wazee wataendelea kurindima CCM.
Mikael Aweda JF-Expert Member Joined Dec 17, 2010 Posts 3,129 Reaction score 4,285 Oct 16, 2012 #4 kiboriloni said: Bado wazee wataendelea kurindima CCM. Click to expand... Kwa mwendo huu ccm ni wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi nao watapata nafasi wakati huo kama ccm itakuwepo.
kiboriloni said: Bado wazee wataendelea kurindima CCM. Click to expand... Kwa mwendo huu ccm ni wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi nao watapata nafasi wakati huo kama ccm itakuwepo.
Man 4 M4C JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 743 Reaction score 114 Oct 16, 2012 #5 Tunashukuru kwa taarifa,ila Dialo sio Dr umesahau kuwa akwenda kurinew kama wakina Nchimbi na Kamala?
Tunashukuru kwa taarifa,ila Dialo sio Dr umesahau kuwa akwenda kurinew kama wakina Nchimbi na Kamala?
I Ichobela JF-Expert Member Joined Jan 7, 2012 Posts 326 Reaction score 156 Oct 16, 2012 #6 Wanamtandao wa Mabina hawakujua Diallo kuwa ni kamanda!