Dr. David Maraga for 2027 presidential election

Dr. David Maraga for 2027 presidential election

anthopody

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2024
Posts
262
Reaction score
183
Oya Gen Z nimesikia mshua anataka kupeperusha bendera ya Kenya 2027 amtoe kitini Kasongo/ Zakayo. Ni kweli wanetu?

Je mshua ataweza mafyadefyade ya wanasiasa,angekaa zake akachili akapiga mapensheni yake,huko kwenye masiasa Sio kukariri vifungu vya sheria na rejea za kimahakama achili tu mshua

Huko asifikiri anaendesha bali ataendeshwa na machizi yenye malengo Yao atatoka kwenye mstari mtaanza kuona Bora Kasongo.

CJ Maraga akae akutulie aende kwa church asali ale pensheni,hizi siasa ya Kenya hakiwezi kabisa ,Kohanatya😆😆
 
Back
Top Bottom