Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
Siyo mara ya kwanza kuzushiwa.Kumekuwa na uvumi wa muda mrefu kuwa Bri Gen Sultan Makenga kauwawa vitani huko DRC.
Hatimaye Leo zimevujishwa picha za maiti ya Makenga kwenye mitandao ya kijamii.
Itoshe nisema hili ni pigo kubwa sana kwa M23 na kwa Rais Kagame bila kumsahau Lut Gen Kabarebe wa Rwanda.
Brig Gen Sultan Emmanuel Makenga. Ni mtutsi mzaliwa na DRC Jimbo la Kivu ya kusini. Mji mdogo wa Minembwe.
Makenga ndiye punda wa M23 na CND enzi za Gen Kunda. Punda kwa maana ndiye aliyefanya kazi ngumu zote za undaji wa CND baadae M23.
Ijapokua ni mtutsi Makenga hakupendwa na Kagame. Mtu pekee alikua akimpenda Makenga jikoni Rwanda ni Gen James Kabarebe. Na sababu ikiwa Makenga alikua msaada mkubwa kwa Kabarebe alipokua akiongoza ile Operation Kitona wakati wa vita ya pili Kongo.
Hili ni anguko kubwa sana kwani kwenye makamanda wa M23 ni Makenga ndiye alikua na ujuzi mkubwa wa kutumia topography ya Kivu kumanuva vita.
Labda nidokeze 2012 walipokosana Makenga na Bosco Ntaganda ilimchukua siku mbili tu kumuweka kati bw Ndaganda na Tanganda akakimbilia unalozi wa US huko KigaliView attachment 2288284View attachment 2288285
Haha. Nabii
Amepata alichokuwa anakitafuta huyu fala.Kumekuwa na uvumi wa muda mrefu kuwa Bri Gen Sultan Makenga kauawa vitani huko DRC.
Hatimaye Leo zimevujishwa picha za maiti ya Makenga kwenye mitandao ya kijamii.
Itoshe nisema hili ni pigo kubwa sana kwa M23 na kwa Rais Kagame bila kumsahau Lut Gen Kabarebe wa Rwanda.
Brig Gen Sultan Emmanuel Makenga. Ni mtutsi mzaliwa na DRC Jimbo la Kivu ya Kusini. Mji mdogo wa Minembwe.
Makenga ndiye punda wa M23 na CND enzi za Gen Kunda. Punda kwa maana ndiye aliyefanya kazi ngumu zote za uundaji wa CND baadae M23.
Ijapokua ni Mtutsi, Makenga hakupendwa na Kagame. Mtu pekee alikuwa akimpenda Makenga jikoni Rwanda ni Gen James Kabarebe. Na sababu ikiwa Makenga alikuwa msaada mkubwa kwa Kabarebe alipokuwa akiongoza ile Operation Kitona wakati wa vita ya pili Kongo.
Hili ni anguko kubwa sana kwani kwenye makamanda wa M23 ni Makenga ndiye alikuwa na ujuzi mkubwa wa kutumia topography ya Kivu kumanuva vita.
Labda nidokeze 2012 walipokosana Makenga na Bosco Ntaganda ilimchukua siku mbili tu kumuweka kati bw Ntaganda na Ntaganda akakimbilia ubalozi wa US huko Kigali
View attachment 2288284View attachment 2288285
Wampeleke wapi wakati ni mtu wao , atakuwa anakula mema ya nchiYule Laurent Nkunda aliekimbilia Rwanda akashtakiwa hivi alipotelea wapi maana Rwanda ilisema haitompeleka congo itamshtaki Rwanda tu
Itabidi uanze kutabiria watu maisha yao..
Dah!..Kama ni kweli itakuwa pigo kwa M23.Ameishatumika sana,wakubwa hawamuhitaji tena
Mbona jeshi La Drc halijathibitisha hili?...huenda ni muendelezo wa Uzushi.Source ya hii habari,ni mleta post au?
Kuhusu drone ondoa hiyo option. HawanaMbona jeshi La Drc halijathibitisha hili?...huenda ni muendelezo wa Uzushi.
Kamanda kama Makenga haendi 'frontline' labda ilikuwa ambush au walitumia 'drone' (kama wanayo).
kayaman wa kupuliza Mr Putin
ndo maana nataka kujua source ya habariMbona jeshi La Drc halijathibitisha hili?...huenda ni muendelezo wa Uzushi.
Kamanda kama Makenga haendi 'frontline' labda ilikuwa ambush au walitumia 'drone' (kama wanayo).
kayaman wa kupuliza Mr Putin