kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Nampenda sana Dr. Bilal tangu alipokuwa katibu wa Wizara ya elimu ya juu wakati Mkapa akiwa ndo Waziri wake. Binafsi alikuwa na roho ya kupenda kusaidia wanafunzi kwa muda mfupi kadri alivyoweza. LAKINI kigogo huyu amekutwa na makuu mengi mazito sana ndani ya CCM yake.
Zito la kwanza ilikuwa pale jina lake lilipokatwa Dodoma hata baada alipokuwa ameshinda kwenye kura za maoni za kuwania nafasi ya urais Zanzibar kwa kuwashinda wenzake wote akiwemo Mh. Amani Karume (Rais mstaafu), lakini jina lake likatupwa na kuteuliwa la Karume.
Zito la pili ni mwaka huu tena jina lake kutupiliwa mbali na CCM bila ya kupewa fursa ya kusikilizwa. Kwani mzee huyu ana tatizo gani la uaminifu kwa taifa?
Zito la kwanza ilikuwa pale jina lake lilipokatwa Dodoma hata baada alipokuwa ameshinda kwenye kura za maoni za kuwania nafasi ya urais Zanzibar kwa kuwashinda wenzake wote akiwemo Mh. Amani Karume (Rais mstaafu), lakini jina lake likatupwa na kuteuliwa la Karume.
Zito la pili ni mwaka huu tena jina lake kutupiliwa mbali na CCM bila ya kupewa fursa ya kusikilizwa. Kwani mzee huyu ana tatizo gani la uaminifu kwa taifa?