Earlier today, Dr. Ben Carson announced on his Facebook that he would be launching a 2016 presidential exploratory committee:
"I am pleased to announce that I have established a Presidential Exploratory Committee to examine whether I should become a candidate for President of the United States. If I believe that I have your support and your commitment to help, I will run for President to lead this great country to a brighter future. I will use these next few months to listen to you and prepare to answer that question myself. I look forward to traveling across this mighty nation to listen to your thoughts and ideas."
Urais wa kuridhishana huo sasa bush tena?
​Huyu jamaa anapoteza muda wake bure pia na pesa zake bora hata angeenda kuwekeza NYSE.
Aliekuambia USA unatumia pesa yako ni nani?
Anapoteza muda wake...Aendelee na kazi yake ya kutunga vitabu...
Ni ndoto za alinacha kwa Mtu mweusi tena kuwa Rais wa Marekani..
​Huyu jamaa anapoteza muda wake bure pia na pesa zake bora hata angeenda kuwekeza NYSE.
Urais wa Marekani siyo lazima utumie pesa zako, unagharimikiwa na wananchi kupitia michango inayoratibiwa na taratibu za kisheria. Ndiyo maana hata sasa kuna watu wanachangisha ili kumshawishi agombee. Mpaka sasa hajatangaza rasmi kwamba atagombea ndiyo maana ameunda kamati ya kuangalia kama ana support ya kutosha kufanya hivyo.
hivi hili neno ALINACHA ni kitu gani? huwa najiuliza ever since i was 10 sijawah pata jibu! ni mtu au kitu? msaada kwa anaejua..
Alinacha ni character kwenye vitabu vya zamani vya hadithi, alikuwa akihangaika na maisha, kuna siku alikuwa amekaa sehem na biashara yake kwenye sinia anauza, akasinzia akawa anaota, ana maisha mazuri, akimiliki magorofa na vito vya thamani, mara akakurupuka usingizini akamwaga biashara yote, na mambo yote yakaishia hapo, hyo ndo ndoto ya alinacha
Nikusahihishe kidogo: alikuwa na biashara ya kuuza bilauri alizozitia kwenye pakacha. Aipochoka akaegemea chini ya mti kupumzika. Mbele yake kulikuwa na jumba la ghorofa. Akawaza kuwa siku moja biashara yake hiyo itafaikiwa naye atanuua jumba kama lile. Kisha atanunua vijakazi wamtumikie. Akawaza kuwa siku moja kijakazi atamkasirisha halafu yeye atampiga teke kwenda kuleee. Kumbe akalipiga teke lile pakacha lake na bilauri zile zote zikavunjika. Na huo ndio ukawa mwisho wa ndoto zake za mchana!