Tumia dawa kwa mujibu wa maelezo ya daktari, kama dawa hizo ulizopewa zimekushinda, rudi tena kwa daktari wako ili ajue akuandikie dawa gani mbadala na sio vinginevyo coz ni daktari wako tu ndie anayejua kwa nini amekuambia utumie hizo dawa na ndie huyohuyo anaetakiwa akubadilishie, UGUA POLE!!