benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
Tulikua tunaangalia video bwana..tukaona mdada anamfungia mkaka kwenye kitanda na kwa pingu miguu na mikono, kamfunga mdomo na kitambaa, alafu kuna kakifimbo Fulani hivi anakua kama anamchapa nacho.....Ben nikamwambia binti ebu tujaribu inaelekea nzuri....hatukua na pingu hivyo tulitumia tu kamba za viatu......binti akachukua mkanda...akaanza kunitandika....aiseee......amenichapaje? sasa sijui kuna utaalamu wakuchapa mtu haumii.....yaani nimevimba mwili mzima sina hamu......mdomo kanifunga nikitaka kumwambia naumia siwezi nabaki kuguna tu., sasa yeye anajua ndio utamu wenyewe....kanitandika vibaya mno hapa nilipo nikitoa shati utanionea huruma jinsi nilivyovimba........kilichoniokoa ni machozi, ilibidi nilie machozi ndio akanifungua kitambaa...sina hamu.