Tatizo liliopo ni kwamba Mugabe kwa sasa anaongea na viziwi. Viongozi wa kizazi hiki ni malimbukeni wanaofikiria kusujudu wazungu ndio ufumbuzi wa matatizo ya Afrika.
...your hero Mugabe ndio source ya matatizo Zimbabwe na why 32 yrs in power? huyu mwehu bado anaishi enzi za cold war na asituletee empty rhetorical zake apeleke huko,yeah we loved Gaddaffy lakini naye hakuwa angel na hes gone now time to move on na kuwakataa NTC sio solutions ya matatizo ya Libya