Dogo anataka kusoma Petroleum engineering

Je?? Ni nzuri au magumashi
simshauri kusoma hiyo kozi ina changamoto sana kwenye kupata kazi.Ni kozi ilioanzishwa kisiasa tanzania tena bora hata na kipindi cha kikwete watu waliokuwa wakipata pata kazi kwenye makampuni, sababu walikuwa ni wachache pia siasa za kipindi cha JK zilikuwa zinatabirika ila kwasasa hali ni tete.Wengi walomaliza wanajuta wasingeisoma.Kupata tu maeneo ya kufanyia practical training ni changamoto, pia walosoma hio kozi hasa nje(china,norway,UK) kwa level ya master ni wengi mno ila wapo kitaa!!
Makampuni mengi yanayofanya utafiti wa gesi kama Exxon Mobil na Statoil wanataka kusepa mazingira ya uwekezaji sio mazuri
Nimesoma hio kozi naelewa vizuri changamoto zake.
Kwa ushauri mwambie dogo asome kozi mojawapo kati ya hizi
1.Civil engineering
2.Mechanical Engineering
3.Electrical engineering
 
simshauri kusoma hiyo kozi ina changamoto sana kwenye kupata kazi.Ni kozi ilioanzishwa kisiasa tanzania tena bora hata na kipindi cha kikwete watu waliokuwa wakipata pata kazi kwenye makampuni, sababu walikuwa ni wachache pia siasa za kipindi cha JK zilikuwa zinatabirika ila kwasasa hali ni tete.Wengi walomaliza wanajuta wasingeisoma.Kupata tu maeneo ya kufanyia practical training ni changamoto, pia walosoma hio kozi hasa nje(china,norway,UK) kwa level ya master ni wengi mno ila wapo kitaa!!
Makampuni mengi yanayofanya utafiti wa gesi kama Exxon Mobil na Statoil wanataka kusepa mazingira ya uwekezaji sio mazuri
Nimesoma hio kozi naelewa vizuri changamoto zake.
Kwa ushauri mwambie dogo asome kozi mojawapo kati ya hizi
1.Civil engineering
2.Mechanical Engineering
3.Electrical engineering
Ushauri mzuri
 
Worldboss Mzee wa havard..
Kweli wewe wakuuliza hili swali ..??
Karibu mtaani mkuu sindoumemaliza hiyo petroleum udom
 
kama anataka ushauri wa namna gani Bsc. in PE inafaa basi mwambie haifai kwa mazingira ya Tanzania. by then kwa sasa in TANZANIA everything is worse.
 
Dogo ana ABB pcm
Hiyo course kasoma Ontario kaishia kuwa mtoa fursa wa forex.

Hiyo course ingekuwa poa sana kama hiyo sekta isingeingiliwa na siasa,nina washkaji zangu wamewahi pata scholarships za serikali kufanya masters za hiyo kitu nje kipindi kile ishu ya gas ya Mtwara imepamba moto lakini baadae wakapiga chini baada ya kuona magumashi yameanza.

Walifanya uamuzi sahihi sana maana mpaka sasa deal la gas limekuwa dirisha.
 
Back
Top Bottom