Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 57
Duh!
Habari wana ndugu wote,
Nimeingia Dodoma kwa mara ya kwanza jana jioni, nipo town najaribu kutafuta sehemu ya masaji (Massage Parlour) but sijafanikiwa kabisa.
Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunisaidia kunielekeza mahala ambapo huduma inapatikana nitashukuru sana.
Ahsante
mkiwa dar massage parlour mnazisoma magazetini, mkiwa nje na dar mnajifanya watu wa kufanyiwa masaji. Unataka changudoa au masaji? kuwa mkweli
mkiwa dar massage parlour mnazisoma magazetini, mkiwa nje na dar mnajifanya watu wa kufanyiwa masaji. Unataka changudoa au masaji? kuwa mkweli
Nenda mtaa wa ONE-WAY!..Ukikosa hapo nenda KIKUYU FLATS, pale huwezi kosa!
Nahitaji masaji kiukweli kabisa, kama ningekua nataka changudoa ningetafuta kimya kimya! lol
Mi bado ni mgeni kabisa huku, nimeingia jana jioni. Naweza kupata contacts?
please would someone explain on this technicality,how come this thread has zero views but has six replies-or is it my computer has seen better days?
Habari wana ndugu wote,
Nimeingia Dodoma kwa mara ya kwanza jana jioni, nipo town najaribu kutafuta sehemu ya masaji (Massage Parlour) but sijafanikiwa kabisa.
Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunisaidia kunielekeza mahala ambapo huduma inapatikana nitashukuru sana.
Ahsante
hizo sehemu zote walizokueleza ni vituo vya machangu. sema kwanza ukiwa dar masaji unafanyiwa wapi