ACHA KUPOTOSHA,,,Habari wakuu!
Jana, Oct 30 2020 Mbunge aliyeshinda jimbo la Dodoma mjini kwa tiketi ya CCM, ndugu Anthony Mavunde ameshindwa kuongea na wananchi wa Dodoma mjini baada ya kundi kubwa kuanza kumzomea.
Kitu hicho kilimpelekea kuingia kwenye gari na kuondoka kwa aibu kubwa.
Wananchi hao walisikika wakisema " WE NENDA, HATUKUTAKI , HATUJAKUCHAGUA, PANDA GARI UENDE ZAKO"
Hali iliyozua maswali mengi mtandaoni kwamba inakuwaje kuzomewa na kundi kubwa vile tena kipindi alipoenda kutoa shukrani kuchaguliwa?
Hii inaashiria nini tuendako? Na Dodoma si ngome ya CCM?
Je, wananchi wanatuma ujumbe gani kwa hili tukio?
Kusema wenye nchi ni wananchi?
Nisiwachoshe kwa maswali tazama mkasa mzima hapo chini.
View attachment 1616367
Ndo maana wananchi HAWAPO tayari kuvumilia mitano tena ya:CCM wengi wana vilio vingi na hasa wafanyabiashara ambao wengi wamefirisiwa kwa kubambikiwa kodi na TRA na wengine kupewa kesi za uhujumu uchumi kwa uonevu mkubwa, ndani ya CCM kwenyewe kuna upinzani mkubwa na wengi hawapendezwi na utawala wa mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tokea chato
Acha uongo.Ilikuwa pale round about ya kwenda bungeni upande wa Dodoma sec
Lazima tukutaniane Uko amani tu mungu na aiweke na hiki kitendo Cha kuzomewa ingetapakaa nchi nzimaTukutane kesho tarehe 2, ofisi za Tume ya uchaguzi
Nani kakudanganya?Acha uongo.
Msalato mnadani...na ilikuwa KABLA ya uchaguzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14] ✓na wote tuseme amina asLa Kuvunda Halina Ubani
Tenda Miujiza Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
[emoji16][emoji23][emoji3][emoji28][emoji1][emoji2]
[emoji23][emoji23] Wananchi wakorofi lakini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14] ✓na wote tuseme amina as
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wizi wa huu awamu ya aibu sanaaaa mpaka tumesanda[emoji3480][emoji3480][emoji3480][emoji3480]Hio ndio uniform kwa Tanzania nzima ,tusimuonee haya mvivu mzembe mzururaji na mwizi wa maamuzi ya Watanzania ,CCM lazima mwaka huu watarudi nchini kwao,wengi inasemekana wanatokea Rwanda na Burundi , Watanzania tumewashitukia.
Mbunge hata akiingia msikitini au kanisani ama atoke yeye au aachwe peke yake ndani ya sinagogi. Zanzibar imeshaanza msikitini wanaachwa peke yao,akiingia liciciemuwatu wanaondoka wanaenda kuswali kwengine.
😀😁😂😅😏[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14] ✓na wote tuseme amina as
KWANINI UNADANGANYA WATU MCHANA KWEUPE.Nani kakudanganya?
Hiyo Kimbinyiko kwenye background umeiona au arusha road kuna kimbinyiko?
Hapo alikuwa anatoa shukurani kushinda akazomewa "HATUJAKUCHAGUA, ONDOKA UENDE KWENYE GARI"
Ndio maana polepole kakataza kusheherekea kuepusha hizi adha, walikuwa wanapima upepo, ukawapuliza hawakuamini, Vumbi tiiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Kawadanganye kina lemutuz huko
Siwezi kukubali UHUNI huu mpaka naingia kaburini.
Wametudharau sana sana sana WANANCHI.
kumbe machafuko tunashangaa yanatokeaje ni kama vitu hivi vya kipuuzi
NI MUONGO HUYU JAMAA ALIYEPOST.Mkuu, hapo alipo zomewa ilikua mitaa gani?
Unaweza kudhibitisha kwa kutuletea tukio zima?NI MUONGO HUYU JAMAA ALIYEPOST.
HIYO CLIP YA SIKU NYINGI KIPINDI CHA KAMPENI ENEO LA MSALATO MNADANI.
TULIKUWA TUNAMSUBIRI RAIS APITE SASA HAKUSIMAMA WATU WAKACHUKIA.
Kwani si maandamano ya amani?Hii pia ni Bora kuonyesha kutoridhika
Polisi hawatumii risasi kwa urahisi kuliko maandamano yanahatarisha Maisha ya raia.
Peleka UNAFIKI uko na wewe nahisi nyie ndo mlinunuliwa na ccmUnaweza kudhibitisha kwa kutuletea tukio zima?
Kama huwezi we ni TAPELI
Sanaaaaa ila Kama hupendwi hupendwi tu[emoji23][emoji23] Wananchi wakorofi lakini?