Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Dkt. Seria Masole Shonyela amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Uyole kwa dhamira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wote, bila ubaguzi. Akizungumza baada ya kuchukua fomu hiyo, Dkt. Shonyela amesema ana nia thabiti ya kushirikiana na wananchi katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuinua hali ya maisha katika jimbo hilo.