Dkt Mwigulu sio kabisa!

Na wewe ukaamini hayo maneno juu ya Mwigulu Nchemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh basi nipe maelekezo jinsi ya kumfikia niko serious mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fika Iramba, shukia sehemu inaitwa Kizaga barabara Kuu ya kuelekea Mwanza kama unatoka Singida Mjini halafu nenda kijiji kinaitwa Simbalungwala (hapa ni kijijini kwetu mimi). Hapo waulize watu kwenda Kijiji cha Makunda (kwa kina Dkt Mwigulu) then hapo ukifika uliza yule Mganga Mpiga Ramli wa Mpakani kati ya Makunda na Ng'anguli utaelekezwa tu na kumpata bila shaka yeyote.
 
Ndugu shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujikomboa kifikra ni kuruhusu uhuru wa kufanya siasa ili kupata mawazo mbadala
Kujikomboa kifikra kunaanzia na kujitambua kwanza.
Kuna uhuru wa siasa na kuna siasa holela.
 
Dookita kuwa na mashonde pahala pa ubongo ni maajabu na dunia inaendelea kumshangaa
 
Wewe ni chitombwafu
 
Mwigulu ni mpambanaji hasubiri kubebwa lakini pia ana uwezo mkubwa wa kiuongozi.
Ni kijana mwanaharakati mzalendo ambaye hapotezi focus yake kirahisi.
Tunampongeza kurudi barazani na kuaminiwa tena na mh Rais kwa niaba ya Watanzania.
Viva TANZANIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa amerudi wasiojulikana watashamiri soon!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…