kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
16
AN-NUUR
JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 22-28, 2013
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.
AN-NUUR
16
JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 22-28, 2013
Usikose nakala yako ya AN-NUUR kilaIjumaa
Itiqaaf Masjid Tungi Temeke kesho
Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU Jijini Dares Salaam, wametakiwakuhudhuria kwa wingikatika ibada ya Itiqaaf,itakayo fanyika katikaMsikiti wa Tungi, Temeke.
Wito huo umetolewa naImam wa Msikiti huo, SheikhShaaban Ibrahim, wakatiakiongea na mwandishi wahabari hizi mapema wiki hii.Alisema kwamba ibadahiyo ni katika mwendelezowa maazimio ya Jumuiyana Taasisi za Kiislamu nayanafanyiwa kazi na Shuraya Maimam, ambapo katikakikao chao Jumapili wikiiliyopita, taarifa za maazimiohayo zilitakiwa kufikisha kwaWaislamu kupitia Misikitiyao.Sheikh Ibrahim, alisemalengo la Itiqafu hizo ni kumliliana kumkabidhi MwenyeziMungu kile kinachoonekanakuwa ni dhulma dhidi yaWaislamu, kupuuzwa nakunyimwa haki zao.
Alifafanua Sheikh huyokwamba, kabla ya kuanzakwa ibada hiyo ya Itiqaaf,Waislamu wapewe dakikamoja hadi mbili kunuia nakukabidhi kwa MwenyeziMungu wale ambao ni kikwazokatika harakati zao.Aidha alisema kuwa,viongozi wa Waislamuwatapata fursa ya kuongea naWaislamu kuwaeleza mamboyanavyoendelea kuhusukadhia mbalimbali dhidi yaona namna gani wanakabiliananayo.Taarifa zaidi kutoka Shuraya Maimam zimeeleza kuwawakati hayo yakifanyika,viongozi wa Kiislamuwanajipanga kwa hatuambadala katika kudaikutekelezewa madai yaoSerikalini.Hii inakuwa ni Ibadaya pili ya Itiqaf, kufanyika baada ya kutanguliwa na ileiliyoswaliwa katika Msikiti waKichangani (T.I.C) Magomeni,Jijini Dar es Salaam Jumamosiwiki iliyopita.