Dkt. Kigwangalla: Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, alimfukuza Zitto na sasa anamfanyia figisu Lissu. Tumwite Ayatollah Mbowe au Kabaka Mbowe

Post ya 14 hii, hakuna aliyejibu hoja ya Kigwangala. Hivi ni kwanini huwa mtu akimuongelea Mbowe na kuachia uenyekiti huwa ni lazima aliyetoa hilo wazo ashambuliwe!?,hivi ni kweli hakuna mtu mwingine chadema anayeweza kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya Mbowe!?!?..., Hivi chadema wote wanaona ni sawa Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu!?,humu huwa namkubali Tindo tu kwenye suala la mwenyekiti kuongoza bila kikomo.
Wajumbe wanamkubali ndio maana wanampa kura. Wale ambao hawamtaki wajiunge na CHADEMA wapeleke pressure ya mabadiliko ya uongozi
 
Na mfumo unataka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti, ili waendelee kumtumia yeye kama kiongozi wa chama kuwafinya kimya kimya wale wote wanaojaribu kuichalenji serikali.

Siku watu wakija kuusikia wasifu wa Mbowe, nina imani wengi watapigwa na butwaa na wengine wataacha kabisa kuwaamini wanasiasa wote wa Tanzania hata wale ambao wanastahili kuaminiwa. Maana inaonesha wazi kuwa wasifu wake hauna tofauti na wa Mrema, sema tu yeye alibahatika kupata watu wenye akili ambao walimsaidia kukitengeneza chama hivyo sasa hivi anakula matunda ya chama na ya kazi yake nyingine.

Bahati mbaya au nzuri wasifu wao hutolewa baada ya muhusika kufariki, hivyo waliopoteza fedha zao na jasho lao kumpigania bila kujua, hawatokuwa na la kuifanya maiti.
Ila watanzania sisi tuna story za kusadikika sana
 
Post ya 14 hii, hakuna aliyejibu hoja ya Kigwangala. Hivi ni kwanini huwa mtu akimuongelea Mbowe na kuachia uenyekiti huwa ni lazima aliyetoa hilo wazo ashambuliwe!?,hivi ni kweli hakuna mtu mwingine chadema anayeweza kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya Mbowe!?!?..., Hivi chadema wote wanaona ni sawa Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu!?,humu huwa namkubali Tindo tu kwenye suala la mwenyekiti kuongoza bila kikomo.
Kuna Chadema yoyote amelalamika?Siku nikiona CCM mnasema Mbowe kawa mzuri ndio siku nitayoacha kumuamini,Zitto ni mmeshafika naye bei ndio maana mnamsifia.Mbowe kamatia hapo hapo mpaka maji waite mma hawa wajinga.
 
Hapa kwenye huu uzi kuna jambo dogo nimejifunza, wasiomtaka Mbowe hawajui maana ya demokrasia, simply wanalazimisha matamanio yao yawe uhalisia.

Mfano tukisema hapa tupige kura wanaomtaka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti Chadema, na wasiomtaka, ni obvious wanaomtaka aendelee kuwa mwenyekiti watashinda, lakini ajabu hao wasiomtaka hawawezi kuheshimu mawazo ya wenzao, ajabu zaidi hawa ndio wanajidai kuijua demokrasia!.

Uamuzi wa Mbowe kugombea uenyekiti ni wake binafsi, wajumbe ndio wenye maamuzi ya mwisho kama wanamtaka aendelee watampigia kura, kama hawamtaki watamnyima kura, nyie wachache msiomtaka Mbowe mnateseka kwa nini?

Fanyeni hivi, simply tafuteni mgombea wenu mtaemuona anaweza kumshinda Mbowe mkampigie kura kama mnaweza, isijekuwa hata kura zenyewe hamuwezi kupiga halafu mnataka mgombea mumtakae achaguliwe mwenyekiti wa Chadema.

Hata suala la kusema Mbowe kazidisha muda aondoke kwani nyie ndio katiba ya Chadema? au mnadhani kuna kuachiana madaraka kienyeji tu kwa sababu za kimahaba? au kwasababu ACT wamebadilisha uongozi, kwani ACT ndio kipimo kwa Chadema kujiamulia mambo yao?

Simply Kigwa kaongea ujinga, na wote mnaomuunga mkono ni wajinga kama yeye.
 
Ila watanzania sisi tuna story za kusadikika sana
Kati ya sifa za kile kitengo maalum ni kuhakikisha watu kama wewe hamumfahamu mwana kitengo husika, ili iwe rahisi kufanya kazi yake kwa ufanisi bila kugunduliwa.

Kuna watu kabla ya Mrema kufariki walikuwa hawajui wala kufahamu kuwa mwamba ni mwana kitengo maalum.
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

View attachment 2995118
CHADEMA NI CHAMA CHA WAPUMBAVU HAKINA TOFAUTI NA CCM .....KWA SASA TZ HAKUNA CHAMA CHA SIASA TIMAMU VYOTE NI UPUUZI MTUPU .....WAPUMBAVU WATANIBISHIA ...NAKUMBUKA NILIWAAMBIA CHADEMA KUWA MNAJIDANGANYA KUWA SAMIA ATALETA SIASA SAFI NA KATIBA KWA KUFURAHIA KIFO CHA JPM .....na leo nawaambia kuwa hakuna uchaguzi utakao kuwa wa kihuni kama uchaguzi utakao fanyika chini ya SAMIA kama mgombea uraisi wa ccm ....mtakuja kuniambia labda amjui tabia za wanawake wakiwa na mamlaka zinakuwaje .....kwa kifupi tu hakuna kiumbe kipumbavu kama mwanamke anapo pata mamlaka inayo mweka juu ya wanaume ....ukitaka kujua upumbavu wa mwanamke yoyote yule basi mpe mamlaka juu ya wanaume utakuja kukili maneno yangu
 
Kati ya sifa za kile kitengo maalum ni kuhakikisha watu kama wewe hamumfahamu mwana kitengo husika, ili iwe rahisi kufanya kazi yake kwa ufanisi bila kugunduliwa.

Kuna watu kabla ya Mrema kufariki walikuwa hawajui wala kufahamu kuwa mwamba ni mwana kitengo maalum.
Kila mtu anaakili yake. Hizo nihisia zako tu lakini huna uwezo wa kuthinitiaha. Mbowe sio chawa
 
Ila kwa hali ya kisiasa ilivyo na yaliyotokea kwenye awamu ya 5 bado Mbowe ni kiongozi sahihi wa CHADEMA. Ukimtoa Mbowe hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa. Lissu na ule uropokaji hafai. Mbowe ana busara na uvumilivu wa kisiasa. Pia anajua kudili na CCM kidiplomasia pamoja na madhila ya hapa na pale anayokutana nayo. Kina Lema, Sugu, Msigwa, Heche, Pumbulu ni hovyo kabisa.
Huo ni ujinga kuamini hakuna mwenye uwezo zaidi yake.
 
Kila mtu anaakili yake. Hizo nihisia zako tu lakini huna uwezo wa kuthinitiaha. Mbowe sio chawa
Umeshasema kila mtu na akili yake, wewe una ya kwako na yeye ana ya kwake. Sasa unawezaje kujua kilichopo kati akili yake kama anatumiwa au hatumiwi?

Anyway kwa fikra zako unaweza kuona yeye sio chawa, lkn wewe ndio chawa wake.
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

View attachment 2995118
Moja kati ya watu wa hovyo katika sisiemu ni huyu Kigwa matunguli anasaka teuzi kwa nguvu sana
 
Post ya 14 hii, hakuna aliyejibu hoja ya Kigwangala. Hivi ni kwanini huwa mtu akimuongelea Mbowe na kuachia uenyekiti huwa ni lazima aliyetoa hilo wazo ashambuliwe!?,hivi ni kweli hakuna mtu mwingine chadema anayeweza kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya Mbowe!?!?..., Hivi chadema wote wanaona ni sawa Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu!?,humu huwa namkubali Tindo tu kwenye suala la mwenyekiti kuongoza bila kikomo.
Mbowe ni kigando,king'ang'a ,ruba mtupu,yaani ni kupe atoki kirahisi hata utumie bomu
 
Hapa kwenye huu uzi kuna jambo dogo nimejifunza, wasiomtaka Mbowe hawajui maana ya demokrasia, simply wanalazimisha matamanio yao yawe uhalisia.

Mfano tukisema hapa tupige kura wanaomtaka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti Chadema, na wasiomtaka, ni obvious wanaomtaka aendelee kuwa mwenyekiti watashinda, lakini ajabu hao wasiomtaka hawawezi kuheshimu mawazo ya wenzao, ajabu zaidi hawa ndio wanajidai kuijua demokrasia!.

Uamuzi wa Mbowe kugombea uenyekiti ni wake binafsi, wajumbe ndio wenye maamuzi ya mwisho kama wanamtaka aendelee watampigia kura, kama hawamtaki watamnyima kura, nyie wachache msiomtaka Mbowe mnateseka kwa nini?

Fanyeni hivi, simply tafuteni mgombea wenu mtaemuona anaweza kumshinda Mbowe mkampigie kura kama mnaweza, isijekuwa hata kura zenyewe hamuwezi kupiga halafu mnataka mgombea mumtakae achaguliwe mwenyekiti wa Chadema.

Hata suala la kusema Mbowe kazidisha muda aondoke kwani nyie ndio katiba ya Chadema? au mnadhani kuna kuachiana madaraka kienyeji tu kwa sababu za kimahaba? au kwasababu ACT wamebadilisha uongozi, kwani ACT ndio kipimo kwa Chadema kujiamulia mambo yao?

Simply Kigwa kaongea ujinga, na wote mnaomuunga mkono ni wajinga kama yeye.
Hii imani yenu iliyopitiliza kwa Mwenyekiti wenu wa kudumu, ndiyo inayosababisha wapinzani wenu kuendelea kukishutumu chama chenu kama ni cha Kikanda, ni Saccos ya mtu, nk.

Na kwa huu mtazamo wenu wa kumfanya Mbowe kuwa Mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA, sidhani kama utakuwa na tofauti na ule wa ccm wa kuitawala Tanzania milele.

Mimi kama mpenda mabadiliko, natamani kuona watu wakipokezana madaraka. Na siyo kuamini eti mtu mmoja pekee ndiyo ana sifa ya kuwatawala wengine milele! Kisa tu anachaguliwa na wajumbe. Vipi kama anashinda kwa kupitia njia ya kuwahonga hao wajumbe kwa siri ili waendelee kumchagua?
 
Wajumbe wanamkubali ndio maana wanampa kura. Wale ambao hawamtaki wajiunge na CHADEMA wapeleke pressure ya mabadiliko ya uongozi
Humjui yule mmachame, ukinyemelea kile kiti kukutoa roho ni dakika moja, unafikiri wajumbe na waliomzunguka hawajui!?,"sumu haijaribiwi kwa kulambwa", Frederick Sumaye - 2019
 
Hapa kwenye huu uzi kuna jambo dogo nimejifunza, wasiomtaka Mbowe hawajui maana ya demokrasia, simply wanalazimisha matamanio yao yawe uhalisia.

Mfano tukisema hapa tupige kura wanaomtaka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti Chadema, na wasiomtaka, ni obvious wanaomtaka aendelee kuwa mwenyekiti watashinda, lakini ajabu hao wasiomtaka hawawezi kuheshimu mawazo ya wenzao, ajabu zaidi hawa ndio wanajidai kuijua demokrasia!.

Uamuzi wa Mbowe kugombea uenyekiti ni wake binafsi, wajumbe ndio wenye maamuzi ya mwisho kama wanamtaka aendelee watampigia kura, kama hawamtaki watamnyima kura, nyie wachache msiomtaka Mbowe mnateseka kwa nini?

Fanyeni hivi, simply tafuteni mgombea wenu mtaemuona anaweza kumshinda Mbowe mkampigie kura kama mnaweza, isijekuwa hata kura zenyewe hamuwezi kupiga halafu mnataka mgombea mumtakae achaguliwe mwenyekiti wa Chadema.

Hata suala la kusema Mbowe kazidisha muda aondoke kwani nyie ndio katiba ya Chadema? au mnadhani kuna kuachiana madaraka kienyeji tu kwa sababu za kimahaba? au kwasababu ACT wamebadilisha uongozi, kwani ACT ndio kipimo kwa Chadema kujiamulia mambo yao?

Simply Kigwa kaongea ujinga, na wote mnaomuunga mkono ni wajinga kama yeye.
Mbowe alishasema hatagombea anastaafu Uenyekiti na angependa Mrithi wake atoke Bawacha

Muislamu akiahidi anatimiza

cc: Ustaadh Abubakar
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

View attachment 2995118
Ushahidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom