Dkt. Kigwangalla: Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, alimfukuza Zitto na sasa anamfanyia figisu Lissu. Tumwite Ayatollah Mbowe au Kabaka Mbowe

Ila kwa hali ya kisiasa ilivyo na yaliyotokea kwenye awamu ya 5 bado Mbowe ni kiongozi sahihi wa CHADEMA. Ukimtoa Mbowe hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa. Lissu na ule uropokaji hafai. Mbowe ana busara na uvumilivu wa kisiasa. Pia anajua kudili na CCM kidiplomasia pamoja na madhila ya hapa na pale anayokutana nayo. Kina Lema, Sugu, Msigwa, Heche, Pumbulu ni hovyo kabisa.
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
😆😆😆😆😆 Yaani Mbowe aanzishe Saccos yake afu useme amuachie mtu wa kuja kutoka huko Nccr Lisu?
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
Kigwangwala huyu huyu aliyetoa mtoto wake kafara ili aukwae uwaziri ?
 
Hamisi huyu huyu aliyewapigisha push up watu wazima alipokua waziri Leo hii anaongelea demokrasia?
Alianza kumchimba Nyalandu baadaye akagundua Nyalandu Ni Moto wa kuotea mbali, akamuaza Mo, Mo hata hakutaka kumjibu, hata Mbowe hatamjibu.
Hamisi. Jimbomi hakuna maji Safi na madawati mbona huyasemei? Au umejua safari hii hubebwi Tena?
Sawa alifanya ujinga, je inahalalisha Mbowe kuongoza chadema bila kikomo!?,nimeanza kuhisi Mbowe analipa vijana na wazee mitandaoni kupinga na kutukana kila anayehoji uenyekiti wake kufika mwisho. Angalia hii thread mlivyomvamia Kigwangala personally. Hakuna anayeelezea Mbowe kuachia uenyekiti. 2022 Mbowe alitamka mwenyewe mwaka Jana 2023 ndo mwisho wake kuwa mwenyekiti. Hadi Leo May 2024 anapambana kuendelea kuwa mwenyekiti.
 
Miaka ile nilipendekeza CHADEMA ingeongozwa na Kamanda John Heche baada ya Kamanda Mbowe kumaliza muda wa uongozi wake. Maana huyu jamaa alikuwa ni Mwenyekiti wa ukweli sana wa bavicha ukimlinganisha na Wenyeviti wengine! Aisee nilishambulwa mpaka basi na Makamanda wa humu jukwaani.
Na nilitoa hoja nzuri tu! Ila sikueleweka hata kidogo. Na badala yake nikaonekana eti mimi ccm!!

Kiukweli mpaka sasa bado sijaona mantiki kwa Kamanda kuendelea kuishikilia hiyo nafasi ya Uenyekiti kwa vipindi zaidi ya viwili! Huku chama chenyewe kikifahamika kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.
Kwangu mimi nilitamani kiwe mfano wa kuigwa kwa vyama vingine vya siasa nchini kwenye kipengele cha Demokrasia na Maendeleo. Ni vizuri akasimama kwenye ile ahadi yake ya kutogombea kwenye uchaguzi wa mwaka 2023! Na baadaye huo uchaguzi kusogezwa mpaka mwaka huu wa 2024.
 
Sawa alifanya ujinga, je inahalalisha Mbowe kuongoza chadema bila kikomo!?,nimeanza kuhisi Mbowe analipa vijana na wazee mitandaoni kupinga na kutukana kila anayehoji uenyekiti wake kufika mwisho. Angalia hii thread mlivyomvamia Kigwangala personally. Hakuna anayeelezea Mbowe kuachia uenyekiti. 2022 Mbowe alitamka mwenyewe mwaka Jana 2023 ndo mwisho wake kuwa mwenyekiti. Hadi Leo May 2024 anapambana kuendelea kuwa mwenyekiti.
Katiba inamruhusu
 
Kwa ivo Mbowe akitoka madarakani ndiyo CHADEMA itaonekana Ina demokrasia.

CCM ambao hawachagui Mwenyekiti wao wa Taifa ndiyo mfano wa kuigwa!?
Hapa Kamanda ndiyo unapokosea. Watanzania walio wengi wameichoka ccm! Kwa hiyo mnapofanya mambo yenu kwa kutegemea sababu kama hizi, mnawafanya watu washindwe kuwaamini.

CHADEMA ina hazina kubwa sana ya watu makini wa kukiongoza chama chenu! Ni kwa nini hao watu hamuwapi nafasi? Huoni watu wataamini hicho chama chenu kina harufu ya Ukanda! Ni kweli chama hakiwezi kwenda mbele bila ya Kamanda Mbowe? Mbona mwanzilishi wa chama aliwaachia madaraka na chama kimeendelea kuwepo mpaka sasa!!
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
Kigwa anatatizo la akili
 
Swala la kujirudiarudia au kukaa sana sio hoja mbona CCM wamekalia nchi since Uhuru, hoja ni una impact gan hapo ulipo. Democracy za Kimagharibi ni hatari kwa upatikanaji wa viongoz wa watu maana ni rahis kuchomekea Mapandikizi/Nagugu kama Samia kwa Kigezo cha hovyo tu ati Ujinsia leo tunalia Watanganyika wote akiwamo na Yeye Kigwa japo analilia Pazuri mwenyewe.
Hatari sn
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
Kigwangwala anatafuta uwaziri kwa udi na uvumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom