Dkt. Kigwangala Acha Kumtafutia Membe Balaa

Dkt. Kigwangala Acha Kumtafutia Membe Balaa

Meitinyiku L. Robinson

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
412
Reaction score
90
Iwapendeze waungwana........

Binafsi niko Mt. Meru Hotel muda huu namwona Kigwangala akihangaika kusubiri wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM kwa dhumuni la kuwapa ujumbe kutoka kwa Waziri wa Mambo Nje.

Kigwangala kawahakikishia baadhi ya wajumbe kuwa lazma waingie Ikulu..... Baadhi yao walimuuliza juu ya onyo Kigwa akawahakikishia kuwa lile onyo lilikuwa na mwenyewe ila nuksi ilitokea kwenye kamati kuu.

Akaenda mbali zaidi na kuwaambi hata Rais anajua mchezo unaoendelea ila sass hivi kubwa ni kuzuga tu. Labda Kigwangala hajui au hajafahamishwa kuwa Mt. Meru leo ni Happy Hour hivyo hata wajumbe waliomwambia kuwa wako nje ya Mkoa tuko nao hapa hapa Mt. Meru na ndio walioweka loud speaker alivyowapigia.

Kimsingi tumeshamwona alipo na wenzetu wanahakikisha hata kama ni Clip zote zitaanikwa humu......

Katiba kwanza Mikakati Baadae..............
 
Uuuuuuh napita,ngoja waje wanaoelewa....
 
Umeshaa kunywa huko mtaani sasa unakuja mount meru kuwa danganya watu wa Edo
 
Huyu kigwangwala ci alikuwa house boy wa mama salma kabla ya kupewa ubunge wa zawadi?wadau tukumbushane
 
hawa lengo lao lilikuwa ndio hilo,wampynguze lowassa speed ili membe apige kampeni chin kwa chin,ila ss lowassa amesha waacha kwa mbali,na hizo kampeni za kishamba za kupigia mahotelini
 
''....Binafsi niko Mt. Meru Hotel muda huu namwona Kigwangala akihangaika kusubiri wajumbe wa mkutano..''

''... Kimsingi tumeshamwona alipo na wenzetu wanahakikisha hata kama ni Clip zote zitaanikwa humu...''

Kiswahili lugha ya watu.....
 
Kinachoendelea huko.... sasa, police wamemkamata au!
 
Back
Top Bottom