Dkt. Hezron Lwaitama anaandika

Huenda Joto la No Reform No Election linamsumbua.
So alikuwa kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichotoka na kauli mbiu-Kazi na Utu tunasonga Mbele.
Isitoshe akiwa mzanzibar huenda hakuwahi kufanya kazi bara au kumjua the late Prof.Sarungi.
 
Ni kwanini mtu mweusi anapenda kuishi kwa unafiki?

Kama mtu nafsi yake haipendi kitu flani unataka ajilazimishe ili kukufurahisha wewe?

Tujifunze kuishi kwa uhalisia na kuukubali uhalisia, hata aliyefiwa angejua kuna mambo kama haya ya misiba, kuwa hutokea wakati wowote naye angekuwa na balance katika kuishi na viongozi wake.

Na yeye ni nini kimemzuia asije kumzika Mzazi wake?
 
Samia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,

Kutoka X
Nadhani pia anajua kuwa kushirikinkwake kwenye msiba wa dr Sarungu kungekubalitu tu kwa shingon upande sababu ya uovu anaotuhumiwa kumfanyia binti wa marehemu. Nadhani ni afadhali hakuja hata kama haileti picha nzuri.
 
Lini Professor Sarungi aliwahi mtukana Samia?
Lini Profesa Sarungi aliwahi kumkemea mwanawe hadharani kwa tabia zake mbovu kama mwanaharamu; wakati mzee alifanya kazi vizuri na kustaafu serikalini?

Tuuache huu mjadala. Isitoshe kwa upande wa Chama alihudhuria Makamu Mwenyekiti Mzee Wasira na Serikali ilipeleka mwakilishi. Siyo misiba yote Mhe. Rais anahudhuria. Mfano hai, Mhe. Rais hakwenda Namibia kumzika Baba wa Taifa hilo, Sam Nujoma. Kwa CCM alikwenda KM, Balozi Dk. Nchimbi na Serikali VP Dk. Mpango. Pumzika kwa amani Profesa Sarungi.🙏🙏🙏
 
Kama Maria alivyoacha kuja kumzika Baba yake kwa kuhofia kukamatwa ndivyo hivyo hivyo Rais kaacha kwenda kwa kuhofia kuvunjiwa heshima sasa shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…