GE2025 Dkt. Biteko: Tufanye toba ya kweli kupata Amani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Baada ya hekaheka za wiki nzima, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amewasihi watanzania kufanya toba ya kweli kupata amani

Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati alipoungana na wana Bukombe pamoja na wakazi wa maeneo jirani kumuabudu Mwenyezi Mungu kupitia mkesha wa “Ibada Halisi” uliofanyika Septemba 20, 2025 katika Uwanja wa Shule ya Msingi Igulwa, Bukombe.

“Uzima tulionao leo ni wimbo mpya kinywani mwetu, afya tulionayo ni wimbo mpya kinywani, hapa Bukombe vile tulivyo ni wimbo mpya kinywani mwetu”.

Ibada hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali wa nyimbo za injili akiwemo Ambwene Mwasongwe na Rehema Simfukwe.

Your browser is not able to display this video.
 
Why Toba ya kweli ?? Kuna nini mmefanya usababishe toba ya kweli ? Damu za watu waliouawa naAbdul na Mafwele Muriro ? Zitawalilia milepe amina
 
Kwani Kuna Amani iliyopotea?! Au anamanisha Nini huyu msukuma?!
 
Amani iwe juu yake mtu wa maana kabisa Dotto Mashaka Biteko. huyu ndiye waziri mkuu ajaye wa nchi hii.
 
Amani iwe juu yake mtu wa maana kabisa Dotto Mashaka Biteko. huyu ndiye waziri mkuu ajaye wa nchi hii.
Basi na Urais mngempa mwarabu ili nchi iwe na rais mwarabu, waziri mkuu mrundi, kaa sababu nvhi haina wenye akili, na hivyo kulazimika kuwatafuta wageni waje wawatawale. Hizo akili unazipata CCM tu, kwa wenye akili za kiwango cha mwashambwa.
 
Doto anatumia dini kama kichaka chakuficha jinai walizo fanya CCM,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…