Dk. Slaa: Magufuli hafui dafu UKAWA

Ama2boy

Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
17
Reaction score
3
Katibu Mkuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Dk. Willibrod Slaa, alisema Magufuli hawezi kushindana na Ukawa, kwani kwenye jimbo lake la Chato chama hicho kimechukua sehemu kubwa ya uongozi kuanzia ngazi ya mitaa na kata.

Dk. Slaa alisema ikiwa kwenye jimbo lake mwenyewe Ukawa wamempita kwa nafasi hizo, hatakuwa na uwezo wa kushindana nao katika nafasi hiyo ya juu kabisa nchini.

===================================

 
Ila wakuu tuna na mtaji mkubwa wa kura za kanda ya Ziwa,sasa kwa kuteuliwa Magufuli tunayo kazi ya kufanya kubaki na mtaji huu
 
kweli kabisa huyo magufuli alifaa kua waziri wa ujenzi tu Lakin urais atajialibia CV yake

Hivi ukisha pata nafasi aliyoipata Magufuli unataka CV gani nyingine? hata kama hatuipendi CCM tumwangalie Magufuli alivyo kuliko kupiga porojo
 
teh teh ukawa presha tupu toka alipopitishwa mzee wa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…