dactari alikuwa anamuandaa mgonjwa,ili amng'oe jino,hivyo akawa anajaribu kumpa story za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi
daktari''unajua jinsi gloves zinavyotengenezwa?''
mgonjwa''hapana''
dactari''huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vya saiz mbalimbali,wanapakwa materia ya raba iliyo kama ujiuji,kisha wanawekwa juani,ikikauka wanavulishwa,then tayari unapata gloves''
mgonjwa''kwi kwi kwi,tehe tehe tehe aha ha haaaaaaaaaaaa''
dactari''unacheka nini?''
mgonjwa''nafikiria condoms zinavyotengenezwa''
daktari''unajua jinsi gloves zinavyotengenezwa?''
mgonjwa''hapana''
dactari''huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vya saiz mbalimbali,wanapakwa materia ya raba iliyo kama ujiuji,kisha wanawekwa juani,ikikauka wanavulishwa,then tayari unapata gloves''
mgonjwa''kwi kwi kwi,tehe tehe tehe aha ha haaaaaaaaaaaa''
dactari''unacheka nini?''
mgonjwa''nafikiria condoms zinavyotengenezwa''