Diwani wa chadema katika utekelezaji

Diwani wa chadema katika utekelezaji

kenethedmund

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2011
Posts
347
Reaction score
89
Diwani wa Kata ya Themi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo {CHADEMA} Mh. Melance Kinabo {Kaburu}akiwa na wananchi wake wakisaidiana kuondoa jiwe lilokuwa kero ya muda mrefu katikati ya Barabara. Barabara ya Nanenane kuelekea kituo cha afya kwenye maandalizi ya ukarabati wa Barabara.
 
weka picha pia;
wengi watajifunza kuwa kuongoza ni kuonyesha njia!
 
Back
Top Bottom