Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Diwani wa Kata ya baraa na aliyewahi kushika Umeya wa Arusha mjini miaka ya Nyuma kupitia CCM Lotha Paul Laiza jana amejiondoa kwenye chama cha mapinduzi (CCM) na kujiunga kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.
Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.