Diwani wa CCM Arusha amehamia CHADEMA

Diwani wa CCM Arusha amehamia CHADEMA

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Diwani wa Kata ya baraa na aliyewahi kushika Umeya wa Arusha mjini miaka ya Nyuma kupitia CCM Lotha Paul Laiza jana amejiondoa kwenye chama cha mapinduzi (CCM) na kujiunga kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.

11702753_1638440886403397_2641195954056764838_n.jpeg
 
Watu kama hawa ndo wanahitajika!! wanajua kutumia fursa...tunakwenda hukohuko kukwiba hakuna kufa maskini na pumzi bado ipo
 
Lema kadi za makontena ulizoagiza kutoka China zitakuja lini??? Huku kwetu zimekwisha…Tuma ndege iende China mapema…Usiwe na wasiwasi ya magwanda..fundi mchundo kaongeza cherehani na wanafunzi wa VETA wana neemeka!!!!
Card zinakuja vuta subira
 
Watu kama hawa ndo wanahitajika!! wanajua kutumia fursa...tunakwenda hukohuko kukwiba hakuna kufa maskini na pumzi bado ipo
Utashikwa na vidonda vya tumbo bure dogo,kama wanahama achana nao,we fata mambo ingine,sawa?
 
Ukiondoa arusha na kamaha,siwahi kusikia kuna kiongozi mwingine amehama
 
Diwani wa Kata ya baraa na aliyewahi kushika Umeya wa Arusha mjini miaka ya Nyuma kupitia CCM Lotha Paul Laiza jana amejiondoa kwenye chama cha mapinduzi (CCM) na kujiunga kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.

View attachment 272371

Safi kamanda mpya karibu
 
Diwani wa Kata ya baraa na aliyewahi kushika Umeya wa Arusha mjini miaka ya Nyuma kupitia CCM Lotha Paul Laiza jana amejiondoa kwenye chama cha mapinduzi (CCM) na kujiunga kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.

View attachment 272371

CDM ndo Habari ya mjini Nyota ya Kijani tupa kule
 
Nikisikia mtu anapiga kelele ohh msiwapokee hao nitajua mchawi huyo

Mnataka Chama kiongezeke kwa watu gani kama siyo kutoka kwenye vyama vingine? Mnadhani kitaongezwa na nini?! Misukule?

Na mnafikiri CCM inashindwaje kama siyo kwa style hii!

Viva CHADEMA Viva UKAWA!
 
Back
Top Bottom