Diwani wa CCM afariki dunia


Diwani wa ulanga, makazi Tegeta... Hawa magamba kazi kweli kweli, bora waanze kufa, dhuluma inawatoa roho sasa.
Bado vasco da gamba, si alidhulumu kula za Dr. Slaa, yetu macho muda wowote kamba inakata, cd4 zimepungua sana, ndo mana safari zimekuwa nyingi za kwenda kubadili blad.
 
Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini.

R.I.P Diwani wa ccm. Sijui alishatangaza kujivua gamba!, wamemkolimba....
 


Dah! kumbe? Alishinda kihalali? Isije kuwa ni mfungo wa kimya kimya umejibu......Watu wanaanza na Mungu na kumaliza na Mungu.

RIP Diwani, poleni ndugu na jamaa.

 
Wabunge wa ccm wakianza kufa pia kama sumari, itakua jambo jema...

Haya si maneno mazuri kuwasemea watu waliofiwa na ndugu yao. Uwe muungwana. Heri ungeacha kuandika. Usije ukavuna matunda ya midomo yako. Maana; "Mungu hadhihakiwa, kwa kuwa apandacho mtu ndicho atakachovuna". Kifo au msiba hauna mwenyewe. Si mtamu kwa rafiki wala kwa adui.
RIP Diwani na poleni wafiwa.
 
Roho yake ilazwe pema peponi..Amen!
 
Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini.

power of M4C, thank you Gog for doing your wrk on time!
 
Mungu ampe pumziko la Amani.
Naziona kata za CDM mpya nyingi, zinazidi ongezeka, tayari madiwani wa 4 wamejiuzulu na mmoja huku ka RIP.
Kufa, kufaana
 
hivi mtu akitoa uzi wa tanzia, hafu mtu mwengine akabofya 'LIKE' hii imekaaje wadau?


Ha ha ha.. Inafanania na ile ya kuambiwa karibu tena baada ya kuwa mmenunua jeneza..

Rest In Peace Diwani.. Poleni wafiwa..
 
Mungu ametoa na ametwaa.Tuliobaki ni kujihoji wenyewe njia zetu tukijua kuna siku Mungu atatuita
 
hivi mtu akitoa uzi wa tanzia, hafu mtu mwengine akabofya 'LIKE' hii imekaaje wadau?

Well, na mimi nimekupiga like! Hata hivyo, tasiri yangu ni rahisi tu ... Kufa kufaana. Otherwise, RIP Diwani George.
 
WATU WENGINE kili zao wanategemea upepo.
unaona kabisa tanzia ww unasema likes. yaani wewe ni gamba baba yako, mama yako, na ukoo wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…